Dhamira ya Mhe Rais Dkt. Samia ni kuwaleta Watanzania wote pamoja, bila kujali tofauti zao, ili kwa pamoja waweze kushiriki katika safari ya kujenga Tanzania ya kesho yenye mafanikio na ustawi kwa wote

Ni mwito wa kuwa na upendo kwa nchi, kuipa kipaumbele Tanzania na kuhakikisha kwamba kila hatua inayochukuliwa inasaidia katika kujenga taifa bora kwa vizazi vijavyo. #MSLAC #SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC #SamiaSuluhuHassan #ChamaChaMapinduzi #PhilipMpango #wizarayaafya #wizarayaujenzi

Ad

Unaweza kuangalia pia

“Tukamate wajibu wetu tuliopewa na Mungu, wa Kukuza watoto wetu katika maadili mema”.‪@samiasuluhu99‬

Twende tukatunze Watoto wetu vile sisi tulivyotunzwa na Wazazi Wetu katika maadili mema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *