Demokrasia

MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Maridhiano yamesaidia katika uponyaji wa kihisia na yameleta ukweli wa kihisia na kiroho. Maridhiano yamesaidia watu au jamii zilizoathiriwa na migogoro kusonga mbele na kupona kutokana na majeraha ya kihisia. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/buHoyHkQO8— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024

Soma zaidi »

MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Rais Mhe. DKT SAMIA alianzisha falsafa ya 4R’s Reconciliation, Resilience, Reforms na Rebuilding ili kudumisha amani, utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii na kiuchumi nchini. Ni vyema zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #KaziIendelee pic.twitter.com/cBDKbhEWQU— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024

Soma zaidi »

MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Maridhiano yamewezesha kurejesha mahusiano yaliyovunjika. yamejenga daraja la uelewa, imani, na mawasiliano mazuri, hivyo yameimarisha uhusiano kati ya viongozi wa vyama vyote vya Siasa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani #BarazaLaVyamaVyaSiasa #KaziIendelee pic.twitter.com/3mRf2AWdyG— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 4, 2024 Kujenga Jamii Iliyostahimilivu: Kupitia mageuzi, jamii inaweza kujenga uwezo wa kustahimili changamoto za kisiasa, kiuchumi, …

Soma zaidi »

4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

4R’s za Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ni muongozo wa jinsi siasa za taifa hili zinapaswa kufanywa. #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani Mkutano wa Baraza la vyama vya Siasa 03/01/2024 pic.twitter.com/Cazsh938mA— Matokeo ChanyA+ (@matokeochanya) January 3, 2024

Soma zaidi »

MAANDALIZI MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA YAKAMILIKA, KUFANYIKA UKUMBI WA JNICC

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji, Francis K. Mutungi akitoa ufafanuzi wakati wa Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa kilichoketi leo tarehe 2 Januari 2024 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho cha maandalizi ya mwisho kuelekea Mkutano Maalum wa wadau wa Demokrasia na Vyama vingi …

Soma zaidi »

MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

DEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASADEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani “TOA MAONI YAKO, KUIMARISHADEMOKRASIA". pic.twitter.com/P3HUnfkQF4— Matokeo …

Soma zaidi »

FALSAFA YA 4R’s YA RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN

RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi naRebuilding- Ujenzi Upya,) ili kudumisha amani,utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii, kisiasa na kiuchumi nchini. RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi …

Soma zaidi »