PEMBA

WATAALAMU WA GST WAENDELEA NA UTAFITI WA MADINI PEMBA: KUKUZA MAENDELEO ENDELEVU KATIKA SEKTA YA MADINI

Katika utekelezaji wa Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Wizara ya Madini Tanzania Bara na Wizara ya Nishati, Maji na Madini ya Zanzibar, timu ya wataalamu kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) inaendelea na shughuli za utafiti katika Visiwa vya Pemba. Utafiti huo unalenga kuchunguza rasilimali …

Soma zaidi »