Maktaba ya Kila Siku: April 5, 2024

Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto

Tarehe 4 hadi 5 Aprili 2024, umefanyika Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto katika Hoteli ya Four Points, Jijini Arusha. Mkutano huu ulikuwa na lengo la kujadili masuala yanayohusu ulinzi na ustawi wa watoto katika mifumo ya kisheria nchini Tanzania. Mkutano huo uliendeshwa na Mheshimiwa Dkt. Pindi …

Soma zaidi »