Mwenyekiti wa Chama cha ADA TADEA Mkoa wa Songea, Alli Sadiki Mapunda, ametangaza kuwa chama chao kipo tayari kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Amesema kuwa ADA TADEA itasimamisha wagombea katika nafasi zote za udiwani na ubunge, …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
April, 2025
March, 2025
-
27 March
FUTARI YA PAMOJA MKOANI ARUSHA – SISI NI NDUGU
RC. MAKONDA , AANDAA FUTARI YA PAMOJA MKOANI ARUSHA , IKIWA NA NIA YA KUWAWEKA PAMOJA WANANCHI KAMA NDUGU
Soma zaidi » -
23 March
CHIFU WA MBEYA ROCKETI MASOKO MWANSHINGA AKEMEA WANAPANGA KUZUIA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI
Chifu wa Mkoa wa Mbeya, Rocketi Masoko Mwanshinga, amewataka wananchi wote wa mkoa huo kutumia haki yao ya kikatiba kujiandikisha na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Chifu Mwanshinga amekemea vikali wale wote wanaotaka kuwazuia wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi, akisema Mungu atawapa usingizi na hawataweza kuzuia uchaguzi …
Soma zaidi » -
20 March
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe ameshiriki katika Mkutano wa UK-Africa Health Summit 2025 uliojadili ushirikiano katika kuboresha sekta ya afya nchini
Mkutano huo pia umejadili vipaumbele vya Sera ya Afya kama vile kushughulikia magonjwa yasiyoambukiza, magonjwa ya mlipuko, kuimarisha afya ya msingi na kujengea uwezo watumishi wa sekta ya afya kwenye ubingwa bobezi kwa kubadilishana uzoefu, namna bora ya kuendelea kuboresha huduma za lishe na uimarishaji wa mifumo ya afya. Katika …
Soma zaidi » -
17 March
RAIS SAMIA KAZINDUA SERA MPYA YA TAIFA YA ARDHI: MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU
DODOMA, 17 Machi 2025 – Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Center umejaa viongozi na wageni mashuhuri, wakishuhudia tukio la kihistoria – uzinduzi rasmi wa Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995, Toleo la 2023. Hafla hii muhimu inaongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa …
Soma zaidi » -
17 March
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
#kazinaututunasongambele#sisinitanzania#matokeochanya#katibanasheria#nchiyangukwanza#kaziiendelee#SSH#MSLAC @ccm_tanzania @SuluhuSamia @matokeochanya @MsLACampaign @sisiniTanzania @NCHIYANGUT @Sheria_Katiba
Soma zaidi » -
10 March
WANANCHI WA SAME NA MWANGA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MRADI WA MAJI SAME-MWANGA-KOROGWE
Wananchi wa wilaya za Same na Mwanga wameonyesha furaha na shukrani kubwa kwa uzinduzi wa Mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe, hususan kwa uwepo wa mtambo wa kisasa wa kutibu maji uliopo wilayani Mwanga. Mradi huu, ambao chanzo chake ni Bwawa la Nyumba ya Mungu, umekamilika baada ya kusubiriwa kwa miaka …
Soma zaidi » -
8 March
SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Siku ya Wanawake Duniani imeadhimishwa kwa hamasa kubwa jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza dhamira ya serikali kujenga jamii jumuishi, yenye haki na usawa wa kijinsia.
Soma zaidi » -
8 March
TUMEPUNGUZA KIWANGO CHA UMASIKINI KWA ZAIDI YA 26% – MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN.
“Kwa upande wetu Tanzania mpaka tunafanya tathmini ya mpango wa tatu wa maendeleo katika vision yetu ile kubwa ya miaka 25. Mpaka tunafanya tathmini ya mpango wa tatu wa maendeleo tayari tulishapunguza umasikini kwa kiwango cha asilimi 26,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. #sisinitanzania …
Soma zaidi » -
1 March
ZAIDI YA WATU LAKI NNE KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI JIJINI ARUSHA
Arusha, Machi 1, 2025 – Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Maximilian, ametangaza kuwa zaidi ya watu laki nne wanatarajiwa kushiriki katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mhe. Maximilian amesema maandalizi yanaendelea vizuri, huku jiji likijiandaa kupokea wageni …
Soma zaidi »
February, 2025
-
21 February
KABLA YA BISMACK ROCK LILIITWA BARAKA STONE.
Mwanza Historia: Kabla ya Bismack Rock, Liliitwa Baraka Stone Jiwe maarufu la Mwanza, linalojulikana leo kama Bismarck Rock, lilikuwa na jina la awali Baraka Stone. Katika video hii, tunachunguza historia ya kuvutia ya jiwe hili, umuhimu wake kwa wenyeji wa Mwanza, na jinsi lilivyopata jina lake la sasa. Kutoka kwenye …
Soma zaidi »
January, 2025
-
27 January
Mhe. Dkt. Doto Biteko katika mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua Mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika ambao umehusisha Wadau wa Maendeleo wakiongozwa na Rais wa Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika. Mkutano huo ni sehemu ya Mkutano wa #Mission300
Soma zaidi » -
25 January
SAFARI YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI TANZANIA, KUTOKA 1963 HADI 2025
Tangu uhuru mwaka 1963, sekta ya nishati imekuwa mojawapo ya vichocheo vikubwa vya maendeleo ya Tanzania. Awali, nchi ilitegemea kuni, mkaa, na mafuta ya taa kama vyanzo vikuu vya nishati. Hata hivyo, hatua muhimu zimechukuliwa kufanikisha maendeleo ya sekta hii: 1. 1963-1980,Serikali ilianza uwekezaji katika miradi ya umeme wa maji, …
Soma zaidi »