Maktaba Kiungo: UWEKEZAJI

SERIKALI KUENDELEA KUJENGA MAZINGIRA WEZESHI KATIKA SEKTA YA KILIMO

Serikali imedhamiria kuendelea kujenga mazingira wezeshi na endelevu katika Sekta ya Kilimo kupitia sera imara na zenye kutekelezeka. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji Angellah Kairuki wakati akifungua Kongamano la Tano la Wadau wa Sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kuhusu Sera Jijini Dodoma …

Soma zaidi »