Maktaba ya Kila Siku: April 14, 2019

NAIBU WAZIRI KWANDIKWA ASISITIZA MRADI WA NYUMBA ZA KISASA MAGOMENI KOTA UKAMILIKE DESEMBA 2019

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandikwa ameagiza Wakala wa Majengo Nchini (TBA) kuhakikisha wanamaliza Mradi wa Nyumba za Kisasa wa Magomeni Kota jijini Dar es Salaam unamalizika kufikia mwezi Desemba mwaka huu. Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Kwandikwa ametoa msisitizo huo leo jijini Dar es Salaam alipofanya ziara …

Soma zaidi »