![C1-01](https://matokeochanya.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/C1-01.png)
- Mbunge wa Mafinga Mjini Cosato Chumi amesema kuwa wameakabidhiwa rasmi majengo yaliyopo katika Kata ya Changarawe, ambayo yalikuwa yakitumiwa na Mkandarasi wa barabara ya Mafinga – Igawa ili yatumike Kama Kituo cha Afya.
- Mbunge huyo alitoa maombi ya kukabidhiwa majengo hayo kwa Rais Dkt. John Magufuli wakati akitokea katika ziara yake ya Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe mwishoni mwa mwaka 2019
![C2-01](https://matokeochanya.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/C2-01.png)
![C3-01](https://matokeochanya.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/C3-01.png)
![C5-01](https://matokeochanya.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/C5-01.png)
Ad