MAFINGA WAKABIDHIWA RASMI MAJENGO YALIYOPO KATA YA CHANGARAWE ILI KUYATUMIA KUWA KITUO CHA AFYA

 

C1-01
Majengo yaliyokabidhiwa
  • Mbunge wa Mafinga Mjini Cosato Chumi amesema kuwa wameakabidhiwa rasmi majengo  yaliyopo katika Kata ya Changarawe,  ambayo yalikuwa yakitumiwa na Mkandarasi wa barabara ya Mafinga – Igawa ili yatumike Kama Kituo cha Afya.
  • Mbunge huyo alitoa maombi ya kukabidhiwa majengo hayo kwa Rais Dkt. John Magufuli  wakati akitokea katika ziara yake ya Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe mwishoni mwa mwaka 2019
C2-01
Majengo yaliyokabidhiwa
C3-01
Majengo yaliyokabidhiwa
C5-01
baadhi ya Majengo na Viongozi akiwemo Meneja wa Tanroad Mkoa wa Iringa Eng. Kindole, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Charles Makoga, Diwani wa Kata ya Changarawe ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Zacharia Vang’ota, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga Bi Saada Mwaruka na watendaji wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Ad

Unaweza kuangalia pia

ONGEZENI KASI YA KUWAHUDUMIA WANANCHI – DKT. CHAULA

Watumishi wa afya nchini wametakiwa kuongeza kasi ya kuwahudumia wananchi kwenye vituo vya kutolea huduma …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *