Kamati Ndogo ya Kilimo, Maliasili, Mazingira na Utalii chini ya Uongozi wa @dr_makame inaendesha vikao na wadau wa sekta hizo jijini Bujumbura Burundi Kamati hiyo inatazamia kuwa na kikao kama hicho tarehe 8 Februari jijini Dodoma -Tanzania #Nahayandiyomatokeochanya+
MatokeoChanya
February 6, 2024
JIJI LA DODOMA, MAZINGIRA, WIZARA YA KILIMO, WIZARA YA KILIMO, WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
2,522 Imeonekana