Maktaba ya Kila Siku: April 28, 2024

Baraza la Vyama vya Siasa Latangaza Mkakati Mpya wa Kuongeza Ufanisi na Kuimarisha Demokrasia Tanzania

Baraza la Vyama vya Siasa limetoa pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuimarisha demokrasia kwa kuboresha Baraza lenyewe. Pongezi hizi zimetolewa na Salum Mwalimu, ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, akionyesha shukrani kwa kazi iliyofanywa na Kamati ya Uongozi katika kuongeza ufanisi wa Baraza, kufanikisha …

Soma zaidi »