Maktaba ya Kila Siku: April 29, 2024

Serikali Yathibitisha Ujenzi wa Barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji Kuongezewa Urefu wa Kilometa 10

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amefichua kuwa serikali imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Kibada – Mwasonga – Kimbiji, ambayo itaboresha miundombinu muhimu katika eneo hilo lenye umuhimu mkubwa. Akizungumza katika ziara yake ya kikazi huko Wilayani Kigamboni, Mkoani Dar es Salaam, Bashungwa alifichua kuwa …

Soma zaidi »

Mapitio ya Utekelezaji na Mwenendo wa Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024

A. MUUNDO NA MAJUKUMU YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA 1. Mheshimiwa Spika,muundo na majukumu ya Wizara yameainishwa katika ibara ya 17 na 18ya Kitabu cha Hotuba yangu. B. MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 2. Mheshimiwa Spika, masuala yaliyozingatiwa na maeneo …

Soma zaidi »

MH. RAIS SAMIA SULUHU KWENYE MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA JIJINI NAIROBI KENYA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. Dkt. William Ruto mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 29 Aprili, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano …

Soma zaidi »