Akuta baadhi ya wakandarasi wanasuasua, wengine wako vizuri Aitisha kikao cha Mawaziri, Makatibu Wakuu wote kesho saa 5 asubuhi Ataka leo jioni apewe taarifa ya kila taasisi inayohusika Ihumwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa eneo la Mji wa Serikali lililoko Ihumwa na kubaini kuwa baadhi ya wakandarasi hawaendi …
Soma zaidi »LIVE IKULU: RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA SHIRIKISHOLA VYAMA VYA WAFANYAKAZI NA VYAMA SHIRIKI
AGIZO LA RAIS MAGUFULI LAANZA KUTEKELEZWA
LIVE: HAFLA YA MAPOKEZI YA NDEGE MPYA YA AIRBUS A220-300
AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGA KOZI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WA JESHI LA POLISI
“SERIKALI YETU INATUJALI NA KUTUPENDA SANA” – DIAMOND PLATNUMZ
Afanya mahojiano na waandishi wa habari jijini Nairobi. Azungumzia tatizo lililotokea katika onesho la Mwanza na kukiri kuwa yeye na wasanii wenzake walikosea na serikali imewasikiliza na kuwasamehe. Aeleza taratibu walizoelekezwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kumaliza kosa walilofanya na namna wanavyolitekeleza. Sasa Wasafi Festival 2018 kuendelea …
Soma zaidi »LIVE:RAIS MAGUFULI KATIKA HAFLA YA KUWATUNUKU VYEO WAHITIMU WALIOFANYA VIZURI KATIKA MAFUNZO YA UOFISA NA UKAGUZI
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA MRADI WA UJENZI WA DARAJA JIPYA SELANDER NA BARABARA UNGANISHI TOKA AGA KHAN HADI COCO BEACH
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 20 Desemba, 2018 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja jipya la Selander linalounganisha eneo la Aga Khan na Coco Beach Jijini Dar es Salaam kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya …
Soma zaidi »LIVE: HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER KUTOKA ENEO LA AGAKHAN HADI COCO BEACH
Bofya link hii kutazama https://youtu.be/-PgICwE4JWo Pia unaweza kubofya link hii; Fuatilia pia kupitia Radio ChanyA+ link👇👇 http://myradiostream.com/mobile/MatokeochanyAtz 24|07 #MATAGA
Soma zaidi »MIMI JUKUMU LANGU NI KUFANYA KAZI – RAIS DKT. MAGUFULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 19 Desemba, 2018 ameweka jiwe la msingi la upanuzi wa barabara ya Morogoro Jijini Dar es Salaam katika sehemu ya kuanzia Kimara hadi Kibaha yenye urefu wa Kilometa 19.2. Upanuzi huo utahusisha kuongeza njia za magari …
Soma zaidi »