Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brigedia Jenerali Wilbert A. Ibuge na Balozi wa China nchini Mhe. Wang Ke wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuhitimisha mazungumzo yao yaliyofanyika jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
March, 2021
-
17 March
MAFUNDI SIMU ACHENI KUFUTA IMEI NAMBA – WAZIRI NDUGULILE
Na Prisca Ulomi, WMTH, Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewaasa baadhi ya mafundi simu za mkononi kuacha tabia ya kufuta IMEI namba wanapoletewa simu na wateja wao. Dkt. Ndugulile ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya siku ya kwanza mkoani Arusha wakati akizungumza na …
Soma zaidi » -
17 March
KAMATI YA BUNGE VIWANDA IMETEMBELEA UJENZI WA KIWANDA CHA CHANJO ZA WANYAMA NA KUKAGUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIUADUDU
Na Eliud Rwechungura Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. David Kihenjile (Mb) na Makamu Mwenyekiti Mhe. Eric Shigongo imeambatana na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb) katika mwendelezo wa ziara za kamati hiyo katika mkoa wa Pwani na …
Soma zaidi » -
17 March
WIZARA YAWAKUTANISHA WADAU KUJADILI MAPENDEKEZO YA KUTUNGWA KWA SHERIA YA TEHAMA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Zainab Chaula akizungumza wakati akifunga kikao cha wadau cha kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa Sheria ya TEHAMA kilichofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria Lugano Rwetaka na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi …
Soma zaidi » -
17 March
WAZIRI MHAGAMA AIOGONZA KAMATI KUDUMU YA BUNGE PAC KUUKAGUA MRADI WA MBIGIRI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Jenista Mhagama ameiongoza kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali (PAC) kuukagua mradi wa uzalishaji sukari katika shamba la Mbigiri, wilayani kilosa mkoani Morogoro. Akiongea wakati wa kikao na Kamati hiyo …
Soma zaidi » -
17 March
WAZIRI LUKUVI AMALIZA UTATA MGOGORO WA ARDHI KIJITONYAMA
Na Munir Shemweta, WANMM Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amemaliza utata uliojitokeza mtaa wa Nzasa kata ya Kijitonyama katika Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam baina ya baadhi ya wakazi wa mtaa huo na mmiliki wa viwanja namba 296 na 297 Dkt Khalifa Mussa Msami …
Soma zaidi » -
16 March
MAKAMU WA RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI SAFI NA SALAMA WA MJI WA MUHEZA MKOANI TANGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga leo March 16,12021.Makamu wa Rais yupo Mkoani Tanga akiendelea na ziara yake ya kikazi ya siku 5 kutembelea na kukagua Miradi ya …
Soma zaidi » -
16 March
KAMATI YA BUNGE VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI WA VIWANDA YALIYO CHINI YA EPZA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. David Mwakiposa Kihenzile(Mb) huku ikiwa imeambatana na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Geoffrey Mwambe ikiendelea na ziara yake katika Maeneo Maalum ya uwekezaji kwa mauzo ya nje (EPZA) Ubungo, Dar es salaam. …
Soma zaidi » -
16 March
NAIBU WAZIRI WAITARA AWAAGIZA WENYE VIWANDA WOTE NCHINI KUAJIRI WATAALAMU WA MAZINGIRA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara akiangalia mfereji wa majitaka yanayotiririka kutoka kiwanda cha Keds Tanzania Company Ltd kilichopo mjini Kibaha mkoani Pwani wakati wa ziara ya kikazi ya kukagua shughuli za mazingira. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) …
Soma zaidi » -
15 March
MAKAMU WA RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimwagilia Maji Mti aina ya Paukaria alioupanda katika eneo la Kiwanda cha Kuchakata Mahindi Michungwani Segera Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga leo March 15,2021 baada ya kuweka Jiwe la Msingi Kiwanda hicho. Makamu wa Rais ameanza ziara …
Soma zaidi » -
14 March
WAZIRI LUKUVI AMALIZA MGOGORO SUGU WA ARDHI WAZO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amehitimisha mgogoro wa muda mrefu baina ya wananchi wa eneo la Chasimba, Chatembo na Chachui katika kata ya Bunju na Wazo Manispaa ya Kinondoni na Kiwanda cha Saruji cha Tanzania Portland (Wazo Hill) ambapo kiwanda hicho kimekubali kuachia hekta 224.8 …
Soma zaidi » -
10 March
WAZIRI NDAKI ANUSA UBADHILIFU MNADA WA PUGU, AUONYA UONGOZI NA KUMUONDOA ASKARI KAZINI
Na. Edward Kondela Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amemtaka Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Wizi wa Mifugo (STPU) Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kumuondoa kazini katika mnada wa Pugu, mkuu wa zamu na wenzake kwa tuhuma za kutoa taarifa zisizo sahihi za idadi ya mifugo …
Soma zaidi » -
9 March
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA YATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Kanali Simon Anange pamoja na Katibu tawala wa wilaya ya Kasulu Mhe. Joseph Kashushura, Tarehe 3 Machi, 2021 wamepokea ujumbe kutoka wizara ya Viwanda na Biashara, EPZA, TIC na Bodi ya Sukari ulioambatana na mwakilishi mkazi wa kampuni ya Mahashree Agroprocessing Tz Ltd mwenye …
Soma zaidi » -
9 March
KINONDONI YAPONGEZWA KWA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA MIKOPO YA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU
Pongezi hizo zimetolewa leo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo alipokuwa akikabidhi hundi ya kiasi cha tsh takribani Bilioni 1.3, kwa ajili ya mikopo ya wanawake, walemavu na vijana robo ya nne, fedha zilizotengwa kwa bajeti ya mwaka 2021. Amesema Kinondoni inaonesha dhamira ya dhati katika kuhakikisha …
Soma zaidi » -
9 March
KIKAO CHA MAKATIBU WAKUU WA SADC KIKIENDELEA
Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wameendelea na kikao chao kwa siku ya pili ikiwa ni maandalizi ya mkutano wa baraza la mawaziri wa SADC unaotarajiwa kufanyika tarehe 12 – 13 Machi, 2021 kwa njia ya mtandao jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya …
Soma zaidi »