Maktaba Kiungo: WAKUU WA WILAYA

WAZIRI JAFO AZITAKA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA KUWATUMIA IPASAVYO WATAALAM SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jafo ameagiza Wizara yake kuhakikisha wataalam wa sekta ya maendeleo ya jamii wanapewa jukumu la kusimamia kazi  ya  Bima ya Afya ya Jamii (CHF) Iliyoboreshwa katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri kwa kuwa ndio wenye utaalam …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AFANYA KIKAO CHA KAZI NA RC, RAS, DC, DAS NA DED WOTE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Magufuli amewataka Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya, Miji, Manispaa na Majiji kujenga ushirikiano na uhusiano mzuri baina yao ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao. Mhe. Rais …

Soma zaidi »