Jumla ya miili 224 imeopolewa hadi sasa mkasa wa MV Nyerere

Serikali itaunda tume ya uchunguzi itakayohusisha timu ya wataalamu na vyombo ya dola, kuhakikisha chanzo cha ajali kinatambulika.

Jumla ya miili 224 imeopolewa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa uchukuzi mhandisi Isack Kamwelwe.

Maafisa wote wanaohusika na uendeshaji wa kivuko wamekamatwa na wanahojiwa kwa uchunguzi.

Ad

Mazishi yataendelea kufanyika pale miili ikipatikana na Waziri mkuu ataendelea kubaki kisiwani Ukara, hasa katika kushiriki mazishi ya wale ambao hawatatambuliwa na ndugu zao.

Kwataarifa zaidi Bofya HAPA

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KULA KIAPO NOVEMBA 05, 2015.

6 Maoni

  1. Wow Thanks for this post i find it hard to get awesome resources out there when it comes to this blog posts thank for the information website

  2. Wow Thanks for this information i find it hard to get good quality information out there when it comes to this material thank for the thread site

  3. Wow Thanks for this post i find it hard to find extremely good knowledge out there when it comes to this subject matter thank for the publish site

  4. Wow Thanks for this site i find it hard to identify good quality material out there when it comes to this content appreciate for the content site

  5. Wow Thanks for this information i find it hard to stumble on exceptional particulars out there when it comes to this material appreciate for the post site

  6. nice blog mate.. amazing content.. this one i search for. thank you

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *