Maktaba ya Kila Siku: August 9, 2019

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA NCHINI TANZANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania inajivunia kufanya kazi kwa karibu na Nchi ya Rwanda kutokana na ukarimu mkubwa uliojengeka  kwa muda sasa kwa Wananchi wa Nchi mbili hizo. Makamu wa Rais amesema hayo leo alipokutana na Balozi wa Rwanda …

Soma zaidi »