UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME VIJIJINI TABORA HAURIDHISHI – BODI

  • Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imesema hali ya utekelezaji mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora hairidhishi.
1-01
Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Styden Rwebangira (katikati), akizungumza jambo wakati Bodi hiyo ilipokutana na mkandarasi anayetekeleza mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora (hayupo pichani). Kulia ni mjumbe wa Bodi, Luis Accarro na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka REA, Mhandisi Jones Olotu, Oktoba
  • Akitoa tathmini ya ziara waliyoifanya Oktoba 2, 2019 kukagua utekelezaji wa Mradi huo Awamu ya Tatu, Mzunguko wa Kwanza mkoani humo; Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi ya Bodi husika, Mhandisi Styden Rwebangira alisema, kufuatia hali hiyo isiyoridhisha, wamelazimika kuchukua hatua ikiwemo kuzungumza kwa simu na msambazaji wa nguzo ili kazi ifanyike kwa ufanisi.
2-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • Akifafanua, alisema moja ya changamoto walizogundua ni ukosefu wa nguzo na nyaya hali inayosababisha mkandarasi kutekeleza kazi kwa kusuasua na baada ya kuzungumza na msambazaji wa nguzo ambaye ni kampuni ya Qwihaya General Enterprises, amekubali kuendelea na huduma hiyo mara moja.
  • “Ameahidi kuleta malori 40 ya nguzo ambayo ni sawa na takribani nguzo 4,000. Kwahiyo ni matumaini yetu kuwa kwa hapa Tabora, suala la nguzo kwa mwezi huu, tutakuwa tumetatua,” alisema Mhandisi Rwebangira.
3-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • Kuhusu suala la nyaya, alisema Bodi imemwagiza mkandarasi ahakikishe anatafuta msambazaji mwingine badala ya kumtegemea mmoja anayewahudumia kwa sasa ambaye anashindwa kutosheleza mahitaji.
  • “Pia, tumemwagiza Mkurugenzi wa Ufundi wa REA, Mhandisi Jones Olotu, amfuatilie msambazaji huyo ili kujua tatizo ni nini na atupatie taarifa kufikia kesho.”
5-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • Awali, Mhandisi Rwebangira alieleza sababu ya msambazaji wa nguzo kusitisha huduma husika ni kucheleweshewa malipo yake ambapo alisema tayari suala hilo lilikwishafanyiwa kazi na serikali, malipo yanatolewa kwa wakati na kwamba wamemhakikishia hilo msambazaji husika ndiyo maana naye kwa upande wake akaridhia kuendelea na kazi.
6-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • Katika hatua nyingine, alieleza kuwa Bodi hiyo imegundua kuwa kumekuwa na matatizo katika kampuni za ukandarasi zinazoungana kutoa huduma ya pamoja kwa kushirikiana hususan katika masuala ya uendeshaji.
  • Kwa sababu hiyo, alisema kuwa wamewaagiza wakandarasi husika kujitathmini na kuhakikisha wanakuwa na lengo moja na kuwataka wasigawane kazi bali wafanye kwa pamoja kama walivyojipambanua wakati wakiomba zabuni husika.
7-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • “Tumewaonya kwamba wanapojitenga na kugawana kazi, ile nguvu na sifa iliyosababisha wakapewa zabuni husika inapotea. Wametuahidi watalifanyia kazi mara moja na kutupatia mrejesho kabla ya kukamilika kwa ziara yetu katika mikoa mingine.”
8-01
Matukio mbalimbali wakati Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Wakurugenzi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ilipofanya ziara kukagua utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini mkoani Tabora, Oktoba 2, 2019.
  • Kwa upande wake, mkandarasi husika alikiri kusuasua katika kutekeleza kazi hiyo lakini akaahidi kukamilisha kazi kwa wakati na viwango kama serikali ilivyoagiza kwani sasa wana uhakika wa kupata vifaa husika.
  • Katika ziara hiyo, Mhandisi Rwebangira alifuatana na mjumbe mwingine wa Bodi husika, Luis Accarro, ambao kwa pamoja wanaiwakilisha Bodi nzima na wanatarajiwa kuwasilisha ripoti ya ziara hiyo baada ya kutembelea maeneo yote yaliyopangwa ikiwemo Kigoma, Mwanza na Kilimanjaro.Na Veronica Simba – Tabora
Ad

Unaweza kuangalia pia

TPDC YAOKOA TRILIONI 12.7 KUAGIZA MAFUTA NJE YA NCHI

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika kipindi cha miaka minne ya Uongozi wa …

39 Maoni

  1. сколько стоит такси в новочеркасске заказ такси в новочеркасске

  2. Заходите на наш ресурс, где вы найдете большое количество полезных статей на тему приемки недвижимости в новостройке или покупки квартиры с черновой отделкой. Узнайте, как защитить себя от ненадёжных застройщиков, какие проверки осуществить перед покупкой жилья, и о многом другом!
    https://citadel-ca.ru

  3. На нашем сайте вы найдете информационные статьи, которые помогут вам разобраться во всех вопросах покупки недвижимости.
    Вас ждут статьи на такие темы, как ремонт в новостройке, а также цены на недвижимость, и многие другие!

  4. На нашем ресурсе вы найдете информационные статьи, которые помогут вам разобраться во всех тонкостях покупки недвижимости.
    Вас ждут статьи на такие темы, как ремонт в новостройке, а также продажа квартиры, и многие другие!

  5. Хотите стать счастливым владельцем собственной квартиры, но не знаете, с чего начать?
    Наш сайт предлагает вам важную информацию на такие темы, как продажа недвижимости или оформление квартиры в ипотеку.
    Посетите наш сайт и начните свой путь к новому дому уже сегодня!

  6. Читайте информационные статьи на важные темы, связанные с продажей недвижимости, например новостройка от застройщика или коммерческая недвижимость.

  7. Читайте полезные статьи на важные темы, связанные с недвижимостью, например покупка земельного участка или покупка недвижимости.

  8. Интересуетесь недвижимостью? Наш сайт – ваш надежный гид в этой области. У нас вы найдете множество полезных статей на такие темы, как квартиры в новостройке от застройщика, а также оценка недвижимости.
    Глубокие аналитические материалы, экспертные мнения и простые рекомендации — все это доступно у нас!

  9. Хотите стать счастливым обладателем собственной квартиры, но не знаете, с чего начать?
    Наш сайт предлагает вам полную информацию на такие темы, как ремонт в новостройке или ипотека под залог недвижимости.

  10. Хотите быть в курсе всех новых тенденций на рынке недвижимости?
    На нашем сайте вы найдете полезные статьи на такие темы, как жилая недвижимость, а также дизайн интерьеров.
    Узнавайте первыми о самых актуальных предложениях и важных советах от профессионалов!

  11. Наш портал предлагает вам самые полезные статьи на такие темы, как налог на имущество, а также переуступка квартиры в новостройке.

  12. Изучите полезные статьи на важные темы, связанные с недвижимостью, например декларация о доходах или стоимость ремонта квартиры.

  13. Читайте экспертные статьи на важные темы, связанные с покупкой жилья, например залог недвижимости, а также аренда коммерческой недвижимости.

  14. Изучите полезные статьи на актуальные темы, связанные с недвижимостью, например дальневосточная ипотека или налог на недвижимость.

  15. На нашем ресурсе вы найдете самую актуальную информацию о стоимости квартир, а также о договоре найма жилого помещения.

  16. Читайте интересные статьи на важные темы, связанные с недвижимостью, например приемка здания или Дальневосточная ипотека.

  17. Хотите быть в курсе всех актуальных тем в области недвижимости?
    На нашем сайте вы найдете много полезных статей на такие темы, как покупка квартиры в Москве а также передача доли в квартире.

  18. На нашем ресурсе вы найдете самую полезную информацию о недвижимости на следующие темы: обмен квартиры с доплатой, а также сдача квартиры в аренду.

  19. Наш портал предлагает вам полную информацию на такие темы, как аренда земли или нотариальные услуги.
    Посетите наш сайт и начните свой путь к новому дому уже сегодня!

  20. This is my first time i visit here. I found so many helpful stuff in your website especially its discussion. From the tons of responses on your posts, I guess I am not the only one having all the enjoyment here! keep up the excellent work

  21. Surprisingly good post. I really found your primary webpage and additionally wanted to suggest that have essentially enjoyed searching your website blog posts. Whatever the case I’ll always be subscribing to your entire supply and I hope you jot down ever again soon!

  22. Toni Kroos https://tonikroos.prostoprosport-ar.com is a German footballer who plays as a central midfielder for Real Madrid and the German national team. World champion 2014. The first German player in history to win the UEFA Champions League six times.

  23. The best film magazin https://orbismagazine.com, film industry trade publications in 2024 to keep you informed with the latest video production, filmmaking, photographynews. We create beautiful and magnetic projects.

  24. It sounds like you’re creating problems yourself by defining this as such a comprehensive, almost unknowable problem. Isn’t that self-defeating?

  25. Thanks for your patience and sorry for the inconvenience!

  26. Philippe Coutinho Correia https://philippecoutinho.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, midfielder of the English club Aston Villa, playing on loan for the Qatari club Al-Duhail. He is known for his vision, passing, dribbling and long-range ability.

  27. Kaka https://kaka.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, meio-campista. O apelido “Kaka” e um diminutivo de Ricardo. Formado em Sao Paulo. De 2002 a 2016, integrou a Selecao Brasileira, pela qual disputou 92 partidas e marcou 29 gols. Campeao mundial 2002.

  28. Gareth Frank Bale https://garethbale.prostoprosport-br.com Jogador de futebol gales que atuou como ala. Ele jogou na selecao galesa. Ele se destacou pela alta velocidade e um golpe bem colocado. Artilheiro (41 gols) e recordista de partidas disputadas (111) na historia da selecao.

  29. Ederson Santana de Moraes https://edersonmoraes.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, goleiro do clube Manchester City e da Selecao Brasileira . Participante do Campeonato Mundial 2018. Bicampeao de Portugal pelo Benfica e pentacampeao de Inglaterra pelo Manchester City.

  30. Virgil van Dijk https://virgilvandijk.prostoprosport-br.com Futebolista holandes, zagueiro central, capitao do clube ingles Liverpool e capitao do a selecao holandesa.

  31. Thomas Mueller https://thomasmueller.prostoprosport-br.com is a German football player who plays for the German Bayern Munich. Can play in different positions – striker, attacking midfielder. The most titled German footballer in history

  32. Edson Arantes do Nascimento https://pele.prostoprosport-br.com Brazilian footballer, forward (attacking midfielder. Played for Santos clubs) and New York Cosmos. Played 92 matches and scored 77 goals for the Brazilian national team.

  33. My coder is trying to convince me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the expenses. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on numerous websites for about a year and am nervous about switching to another platform. I have heard great things about blogengine.net. Is there a way I can import all my wordpress posts into it? Any help would be really appreciated!

  34. Amazing! Your site has quite a few comment posts. How did you get all of these bloggers to look at your site I’m envious! I’m still studying all about posting articles on the net. I’m going to view pages on your website to get a better understanding how to attract more people. Thank you!

  35. Some truly nice stuff on this website , I like it.

  36. This has to be one of my favorite posts! And on top of thats its also very helpful topic for newbies. thank a lot for the information!

  37. This information is critically needed, thanks.

  38. Great write-up, I am a big believer in placing comments on sites to inform the blog writers know that they’ve added something advantageous to the world wide web!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *