KATIBU MKUU NISHATI AKAGUA MITAMBO YA GESI SONGONGO NA MNAZI BAY

  • Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua, amefanya ziara ya kikazi katika mitambo ya kuzalisha, kuchakata na kusafirisha gesi asilia iliyopo kisiwani Songo Songo mkoani Lindi, na ile ya Madimba na Mnazi Bay Mkoani Mtwara kwa lengo la kukagua maendeleo ya uzalishaji na uchakataji wa Gesi Asilia katika maeneo hayo.
2-01
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Hamisi Mwinyimvua (wa Tatu kulia), Kamishna wa Petroli na Gesi, Adam Zuberi (wa Pili kulia) na Kamishna Msaidizi wa Gesi, Sebastian Shana (wa Tano kutoka kushoto) wakiwa na watendaji wa kampuni ya GASCO na wataalam kutoka Wizara ya Nishati katika mitambo ya Gesi ya Songosongo mkoani Lindi
  • Ziara hiyo aliifanya tarehe 11 Disemba, 2019 akiwa ameambatana na Kamishna wa Gesi na Petroli, Adam Zuberi, Kamishna Msaidizi wa Gesi, Sebastian Shana na watendaji kutoka kampuni tanzu ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ya GASCO inayoshughulikia masuala ya Usambazaji Gesi .
  • Pamoja na  ukaguzi wa maendeleo ya uzalishaji na uchakataji wa Gesi Asilia katika maeneo hayo, ziara hiyo ililenga kubaini kama kuna changamoto ambazo zinaweza kukwamisha upatikanaji wa Gesi Asilia nchini.
3-01
Mtaalam anayefanya kazi katika mitambo ya kuchakata Gesi Asilia ya Madimba mkoani Mtwara akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt Hamisi Mwinyimvua (wa Pili kushoto) na wataalam wengine kuhusu kazi zinazofanywa kwenye kituo hicho.
  • Baada ya ukaguzi wa mitambo hiyo, Katibu Mkuu aliwapongeza watendaji wa TPDC na GASCO kwa jinsi walivyoweza kujenga uwezo kwa maafisa wake ambao ndio wanaendesha mitambo hiyo ya  kuchakata Gesi Asilia bila kutegemea wataalam kutoka nje ya nchi.
  • Vile vile, aliwagiza wataalam hao kusimamia vizuri mitambo hiyo ili kuimarisha hali ya upatikanaji wa Gesi Asilia ambayo inatumika kwa matumizi mbalimbali nchini ikiwemo kuzalisha umeme, kutumika majumbani, viwandani na kwenye magari.
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KALEMANI AFUNGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA UMEME – KIGOMA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amefungua kiwanda cha Nguzo cha Qwihaya, kilichopo katika Mtaa …

125 Maoni

  1. In the world of professional tennis, the name of Gustavo Kuerten https://roland-garros.gustavokuerten.com is closely linked to one of the most prestigious Grand Slam tournaments – Roland Garros.

  2. Anderson Silva https://killer-bees-muay-thai-college.andersonsilva.net was born in 1975 in Curitiba Brazil. From a young age he showed an interest in martial arts, starting to train in karate at the age of 5.

  3. Rodrygo Silva de Goes https://real-madrid.rodrygo-br.com, known simply as Rodrygo, emerged as one of the the brightest young talents in world football.

  4. Earvin “Magic” Johnson https://los-angeles-lakers.magicjohnson.biz is one of the most legendary basketball players in history. NBA history.

  5. Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior-ar.com the Brazilian prodigy whose full name is Vinicius Jose Baixao de Oliveira Junior, has managed to win the hearts of millions of fans around the world in a short period of time.

  6. Robert Lewandowski https://barcelona.robertlewandowski-ar.com is one of the most prominent footballers of our time, and his move to Barcelona has become one of the most talked about topics in world football.

  7. Pedro Gonzalez Lopez https://barcelona.pedri-ar.com known as Pedri, was born on November 25, 2002 in the small town of Tegeste, located on Tenerife, one of the Canary Islands.

  8. Yacine Bounou https://al-hilal.yassine-bounou-ar.com known simply as Bono, is one of the most prominent Moroccan footballers of our time.

  9. The story of Leo Messi https://inter-miami.lionelmessi.ae‘s transfer to Inter Miami began long before the official announcement. Rumors about Messi’s possible departure from Barcelona appeared in 2020

  10. Brazilian footballer Neymar https://al-hilal.neymar-ar.com known for his unique playing style and outstanding achievements in world football, has made a surprise move to Al Hilal Football Club.

  11. RDBox.de https://rdbox.de bietet schallgedammte Gehause fur 3D-Drucker, die eine sehr leise Druckumgebung schaffen – nicht lauter als ein Kuhlschrank. Unsere Losungen sorgen fur stabile Drucktemperatur, Vibrationsisolierung, Luftreinigung und mobile App-Steuerung.

  12. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristiano-ronaldo.ae is one of the greatest names in football history, with his achievements inspiring millions of fans around the world.

  13. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  14. Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!

  15. Продажа новых автомобилей Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru/ в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин

  16. Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.

  17. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

  18. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  19. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  20. When Taylor Swift https://shake-it-off.taylor-swift-ar.com released “Shake It Off” in 2014, she had no idea how much the song would impact her life and music career.

  21. Priyanka Chopra https://baywatch.priyankachopra-ar.com is an Indian actress, singer, film producer and model who has achieved global success.

  22. Michael Jordan https://chicago-bulls.michael-jordan-ar.com is one of the greatest basketball players of all time, whose career with the Chicago Bulls is legendary.

  23. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  24. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  25. In recent years, the leading positions in the Spanish https://spanish-championship.laliga-ar.com championship have been firmly occupied by two major giants – Barcelona and Real Madrid.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *