Maktaba ya Kila Siku: April 6, 2021

RAIS SAMIA AMEWATAKA VIONGOZI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA MAJUKUMU NA WAJIBU WA WIZARA NA TAASISI ZAO IPASAVYO IKIWEMO UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KIMKAKATI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya kuwaapisha MAkatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumanne April 6, 2021 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza …

Soma zaidi »