Maktaba ya Kila Siku: August 18, 2021

NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA WATENDAJI SEKTA YA ARDHI KUHAMASISHA URASIMISHAJI

Sehemu ya Watendaji wa sekta ya ardhi na wawakilishi wa Kampuni za Upangaji na Upimaji wakiwa katika kikao kilichofanyika Chuo cha Mipango jijini Dodoma jana. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka watendaji wa sekta ya ardhi nchini kutumia njia mbalimbali katika kuhamasisha zoezi …

Soma zaidi »