Matokeo ChanyA+

Je, mikakati hii ya uongozi wa Dkt. Mpango inaweza kuwa dira ya mafanikio ya maendeleo ya taifa letu?

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameonyesha falsafa ya uongozi inayojikita katika maadili, utendaji wenye tija, na maendeleo ya taifa. Maadili na Uwajibikaji: Dkt. Philip Mpango anasisitiza maadili na uwajibikaji katika uongozi wake. Anaamini katika uadilifu, uwazi, na kufuata misingi ya utawala bora katika …

Soma zaidi »

KWANINI RAIS SAMIA ALIPOINGIA MADARAKANI ALISISITIZA KAULIMBIU YA “KAZI IENDELEE”

Rais Dk Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani mwaka 2021, alisisitiza kaulimbiu ya “Kazi Iendelee” kutokana na muktadha wa kisiasa na kiuchumi wa Tanzania wakati huo.  Kuendeleza Mafanikio ya Serikali Iliyotangulia Rais Samia aliingia madarakani baada ya kipindi cha mpito kufuatia kifo cha Rais John Magufuli. Moja ya malengo yake ilikuwa …

Soma zaidi »

JITIHADA ZA TANZANIA KATIKA KUIMALISHA UWEKEZAJI WA NDANI NA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA MIRADI YA MAENDELEO 

Ukuaji wa Uwekezaji kwa Miaka Mitatu    Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesajili jumla ya miradi 504 kati ya Januari na Desemba 2023, yenye thamani ya Dola za Marekani 5.6 bilioni, ambayo ni sawa na takribani Shilingi za Tanzania Trilioni 10. Hii ni ongezeko kubwa ikilinganishwa na miaka miwili iliyopita, ambapo …

Soma zaidi »

SEKTA YA KILIMO TANZANIA: NGUZO YA MAENDELEO NA USTAWI WA JAMII

Nchini Tanzania, Sekta ya Kilimo ni msingi wa maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii. Sekta hii ina mchango mkubwa katika pato la Taifa, biashara ya nje, na utoaji wa fursa za ajira kwa wananchi. Mchango wa Sekta ya Kilimo Sekta ya kilimo ni nguzo muhimu ya uchumi wa Tanzania, …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA WOMENLIFT HEALTH

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimsikiliza Maelezo kutoka kwa Bi. Doris Mollel ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel kuhusu vifaa vya kutunza watoto njiti wakati Makamu wa Rais akikagua mabanda mbalimbali kwenye Mkutano wa WomenLift Health 2024 unaofanyika katika Kituo cha …

Soma zaidi »

Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto

Tarehe 4 hadi 5 Aprili 2024, umefanyika Mkutano wa Tatu wa Jukwaa la Haki za Watoto katika Hoteli ya Four Points, Jijini Arusha. Mkutano huu ulikuwa na lengo la kujadili masuala yanayohusu ulinzi na ustawi wa watoto katika mifumo ya kisheria nchini Tanzania. Mkutano huo uliendeshwa na Mheshimiwa Dkt. Pindi …

Soma zaidi »

TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI, KULINDA NA KUSIMAMIA FARAGHA YA TAARIFA ZA KIBINAFSI KATIKA JAMII.

Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ni muundo wa kisheria uliowekwa na serikali kwa lengo la kusimamia na kulinda taarifa za kibinafsi za watu katika jamii. Hii inaonyesha kutambua umuhimu wa faragha na haki za kibinafsi za watu katika enzi ya kidijitali ambapo data zetu zinahifadhiwa na kusindikwa kwa kiwango …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AKIPOKEA RIPOTI YA (CAG) NA TAARIFA YA UTENDAJI KAZI WA (TAKUKURU) KWA MWAKA 2022/2023

“Ripoti hizi zilizotolewa hapa zinasaidia katika maboresho ya serikali kwa watumishi wa umma kwasababu ripoti zilizotolewa hapa tutakwenda kuangalia kwenye dosari na kufanya marekebisho na mwakani pengine hizi hazitajirudia na tutakuwa tumesogea. Tunawashukuru sana CAG na TAKUKURU kwakuwa kazi hii inaimarisha utendaji ndani ya mashirika ya umma na kupunguza hasara…itafika …

Soma zaidi »

TPA NA EACOP WAFIKIA MAKUBALIANO KUIMARISHA BANDARI YA TANGA KWA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA AFRIKA MASHARIKI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia mikataba mitatu na East African Crude Oil Pipeline ( EACOP) Limited kwa ajili ya kuridhia kutumika kwa Bandari ya Tanga katika kutekeleza mradi wa kimkakati wa ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani, Tanga Tanzania. …

Soma zaidi »