Afanya mahojiano na waandishi wa habari jijini Nairobi. Azungumzia tatizo lililotokea katika onesho la Mwanza na kukiri kuwa yeye na wasanii wenzake walikosea na serikali imewasikiliza na kuwasamehe. Aeleza taratibu walizoelekezwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kumaliza kosa walilofanya na namna wanavyolitekeleza. Sasa Wasafi Festival 2018 kuendelea …
Soma zaidi »LIVE: HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI WA DARAJA JIPYA LA SALENDER KUTOKA ENEO LA AGAKHAN HADI COCO BEACH
Bofya link hii kutazama https://youtu.be/-PgICwE4JWo Pia unaweza kubofya link hii; Fuatilia pia kupitia Radio ChanyA+ link👇👇 http://myradiostream.com/mobile/MatokeochanyAtz 24|07 #MATAGA
Soma zaidi »video:DC KATAMBI; Kila Familia mjini Dodoma ni lazima ipande miti mitatu.
• Zoezi linaanza baada ya tango la Mhe. Dc Katambi • Kila familia itakayopanda miti hiyo itawajibika kuiyunza wakati wote • Ukaguzi wa mara kwa mara kufanyika kukagua miti iliyopandwa nyumba kwa nyumba. Fuatilia agizo la Mhe. Katambi kwa kubofya link hii 👇🏽 https://youtu.be/YWZK6g-Ro9Y
Soma zaidi »LIVE: FUATILIA UZINDUZI WA CHANELI YA UTALII ‘TANZANIA SAFARI CHANNEL’
• Waziri Mkuu ndiye Mgeni Rasmi • Itakuwa inaonekana TBC1 Fuatilia kwa kubofya link hii https://youtu.be/DzZwjhuPQiM
Soma zaidi »LIVE; RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU WA MISRI WASHUHUDIA UTIAJI SAINI UJENZI WA MRADI WA KUFUA UMEME WA STIEGLER’S GORGE
Serikali na Kampuni ya Arab Constructors ya Misri leo zitatia saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Stiegler’s Gorge, utakaozalisha megawatts 2100. Kwa mujibu wa Rais Magufuli, mradi huo utagharimu zaidi ya TZS 6.5tril. Waziri Mkuu wa Misri atahudhuria hafla hiyo. Fuatilia kwa kubofya link hii; …
Soma zaidi »LIVE; KIKAO CHA MHE. RAIS , MAWAZIRI, WAKUU WA MIKOA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA MAPATO NCHINI.
AU
Soma zaidi »LATE LIVE; RAIS MAGUFULI AKIZUNGUMZA IKULU
LIVE; HAFLA YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI MRADI WA UBIRESHAJI WA HUDUMA ZA MAJI SAFI WILAYANI ARUMERU MKOANI ARUSHA.
#SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA https://youtu.be/hA9LnUbjuE0
Soma zaidi »MUFTI: “NI LAZIMA DINI TUKEMEE USHOGA!”
Ni Mufti Abubakar Zuberi bin Ally Asema hayo alipokuwa akizungumza katika Baraza la Kitaifa la Maulid lililofanyika Korogwe mkioani Tanga. Amesema haiwezekani waumin wabaki wanafanya ibada lakini vitendo vya ushoga vinatokea na wanaovifanya wanaonekana na kuachwa bila kukemewa. Adai kidin, yapo mambo mawili; La kwanza ni kukataza (kukemea) na kuamrisha …
Soma zaidi »LIVE IKULU: HAFLA YA KUAPISHWA MAWAZIRI WATEULE
#SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi »