Matokeo ChanyA+

RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSAFIRISHA KOROSHO.

Asisitiza yeye na serikali awamu ya tano, HATINGISHWI! Alitaka Jeshi la Wananchi kuwa tayari kwa oparesheni Korosho kuanzia Jumatatu jioni tarehe 12 Novemba, 2018. Aeleza kuwa serikali ina fedha yote ya kununua korosho yote iliyozalishwa katika msimu wa kilimo. tazama hotuba za utangulizi na hotuba ya Mhe. Rais kabla ya …

Soma zaidi »

HAIWEZEKANI!; NCHI YENYE WATU ZAIDI YA MIL.55 IKOSE WATU 11 WA KUCHEZA MPIRA NA KUSHINDA! – RAIS MAGUFULI

Awaambia Stars Watanzania wamechoka kushuhudia wanafungwa katika kila mashindano. Asisitiza mwenendo wa kushindwa kwa timu za Tanzania katika mashindano ya kimataifa, ni aibu kubwa. Anachukizwa na rushwa pamoja na wizi uliokuwa unafanywa na viongozi wa soka nchini. Awataka viongozi wa mpira wa miguu nchini kuhakikisha wachezaji wa timu ya Taifa …

Soma zaidi »

UFAFANUZI WA UDAHILI WA WANAFUNZI MWAKA WA KWANZA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM.

Ni ule wa kufutiwa kuchaguliwa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2018/19 zaidi ya 680. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – Taaluma Prof. Bonaventure Rutinwa atoa ufafanuzi. Fuatilia katika video hii Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako atoa maelekezo kwa Chuo …

Soma zaidi »