MUFTI: “NI LAZIMA DINI TUKEMEE USHOGA!”

  • Ni Mufti Abubakar Zuberi bin Ally
  • Asema hayo alipokuwa akizungumza katika Baraza la Kitaifa la Maulid lililofanyika Korogwe mkioani Tanga.
  • Amesema haiwezekani waumin wabaki wanafanya ibada lakini vitendo vya ushoga vinatokea na wanaovifanya wanaonekana na kuachwa bila kukemewa.
  • Adai kidin, yapo mambo mawili; La kwanza ni kukataza (kukemea) na kuamrisha linafuata.
  • Afafanua kiimani kwamba ambaye hakemei anakuwa mbaya zaidi kuliko anayetenda vitendo vuiovu.

Fuatilia link hii ya video kusikiliza na kutazama alichokisema Mufti

Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE IKULU: RAIS DKT MAGUFULI ANAKUTANA NA WABUNIFU WADOGO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *