Recent Posts

JE UNAJUA MAJI NI UHAI UNAOLINDA AFYA NA MAZINGIRA

Maji ni rasilimali muhimu inayochangia moja kwa moja katika afya ya binadamu na uhai wa mazingira yetu. Upatikanaji wa maji safi na salama husaidia kuzuia magonjwa, kuimarisha lishe, na kuboresha hali ya maisha kwa ujumla. Mbali na afya, maji yana mchango mkubwa katika kulinda mazingira kwa kusaidia ukuaji wa mimea, …

Soma zaidi »

MRISHO MPOTO AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MAJI.

Katika video hii, Msanii na Mwanaharakati wa Jamii, Mrisho Mpoto, anazungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya maji nchini. Kupitia juhudi za serikali na wadau mbalimbali, wananchi wengi sasa wanapata maji safi na salama, jambo ambalo limeleta mabadiliko chanya katika afya, kilimo, na maendeleo ya kijamii. Mpoto anaeleza jinsi miradi …

Soma zaidi »

MAPINDUZI KATIKA SEKTA YA MAJI

Sekta ya maji imepitia mageuzi makubwa yanayolenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. Kupitia uwekezaji wa kisasa, matumizi ya teknolojia bunifu, na usimamizi bora wa rasilimali za maji, serikali na wadau mbalimbali wamefanikiwa kupunguza changamoto za uhaba wa maji. Maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa mabwawa mapya, usanifu …

Soma zaidi »

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Machi 21, 2025 amewasili Mkoani Njombe ambapo pamoja na mambo mengine atakuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Siku ya Misitu Duniani inayofanyika kitaifa Mkoani Njombe

Akiwa Mkoani humo, Mheshimiwa Waziri Mkuu ametembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya misitu cha TANWAT (Tanganyika Wattle Company Limited) kilichopo Njombe mjini ambapo ameshuhudia shughuli mbalimbali zinazofanywa na kiwanda hicho. Akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda hicho Waziri Mkuu amewasihi wafanyakazi wa kiwanda hicho kufanya kazi kwa weledi ili kufanikisha malengo …

Soma zaidi »