Justine Januari Kiboko, mkazi wa Namanyere, Kata ya Majengo, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, ametoa wito kwa vijana wote wa Nkasi kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba 2025. Amesema vijana ni nguvu kazi ya taifa na wanayo nafasi kubwa ya kuamua mustakabali wa nchi kwa kutumia haki yao …
Soma zaidi »Recent Posts
TUIOMBEE TANZANIA IENDELEE KUDUMU KATIKA AMANI: ASKOFU MSTAAFU AMBELE MWAIPOPO.
Askofu Mstaafu Ambele Mwaipopo, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Mkoa wa Rukwa, amepongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendeleza maridhiano ya kitaifa na kusukuma mbele maendeleo ya nchi. Amesema moja ya mafanikio makubwa yanayoonekana mkoani …
Soma zaidi »MZEE EDWARD PETER MAGANGA VIJANA SIMAMENI KULINDA AMANI NA KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Mzee Edward Peter Maganga ametoa wito kwa vijana wa Tanzania kusimama imara kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo, hasa kwa kulinda amani na utulivu wa nchi. Amesema maendeleo yaliyofikiwa hadi sasa yametokana na kuheshimu utaratibu, sheria na misingi ya kidemokrasia ambayo imeijenga Tanzania kuwa taifa lenye mshikamano. …
Soma zaidi »SHEIKH WA MKOA WA MBEYA MSAFIRI AYASI NJALAMBAH ASISITIZA AMANI NA UTULIVU NI FAHARI YA JIJI LA MBE
Sheikh wa Mkoa wa Mbeya, Msafiri Ayasi Njalambah, amesisitiza kuwa amani na utulivu ni fahari ya Jiji la Mbeya na msingi wa maendeleo endelevu. Sheikh Njalambah amepongeza juhudi za Serikali ya Tanzania katika kujenga jamii yenye umoja na mshikamano, akisema kuwa serikali imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha wananchi wanaishi kwa …
Soma zaidi »CHIFU WA MBEYA ROCKETI MASOKO MWANSHINGA AKEMEA WANAPANGA KUZUIA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI
Chifu wa Mkoa wa Mbeya, Rocketi Masoko Mwanshinga, amewataka wananchi wote wa mkoa huo kutumia haki yao ya kikatiba kujiandikisha na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Chifu Mwanshinga amekemea vikali wale wote wanaotaka kuwazuia wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi, akisema Mungu atawapa usingizi na hawataweza kuzuia uchaguzi …
Soma zaidi »JE UNAJUA MAJI NI UHAI UNAOLINDA AFYA NA MAZINGIRA
Maji ni rasilimali muhimu inayochangia moja kwa moja katika afya ya binadamu na uhai wa mazingira yetu. Upatikanaji wa maji safi na salama husaidia kuzuia magonjwa, kuimarisha lishe, na kuboresha hali ya maisha kwa ujumla. Mbali na afya, maji yana mchango mkubwa katika kulinda mazingira kwa kusaidia ukuaji wa mimea, …
Soma zaidi »MRISHO MPOTO AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MAJI.
Katika video hii, Msanii na Mwanaharakati wa Jamii, Mrisho Mpoto, anazungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sekta ya maji nchini. Kupitia juhudi za serikali na wadau mbalimbali, wananchi wengi sasa wanapata maji safi na salama, jambo ambalo limeleta mabadiliko chanya katika afya, kilimo, na maendeleo ya kijamii. Mpoto anaeleza jinsi miradi …
Soma zaidi »MAPINDUZI KATIKA SEKTA YA MAJI
Sekta ya maji imepitia mageuzi makubwa yanayolenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. Kupitia uwekezaji wa kisasa, matumizi ya teknolojia bunifu, na usimamizi bora wa rasilimali za maji, serikali na wadau mbalimbali wamefanikiwa kupunguza changamoto za uhaba wa maji. Maboresho haya yanajumuisha ujenzi wa mabwawa mapya, usanifu …
Soma zaidi »CHIFU – ROCKETI MASOKO MWANSHINGA , AKEMEA WANAOPANGA KUZUIA WANANCHI KUJITOKEZA KWENYE UCHAGUZI.
Chifu wa Mkoa wa Mbeya, Rocketi Masoko Mwanshinga, amewataka wananchi wote wa mkoa huo kutumia haki yao ya kikatiba kujiandikisha na kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Chifu Mwanshinga amekemea vikali wale wote wanaotaka kuwazuia wananchi kushiriki katika mchakato wa uchaguzi, akisema Mungu atawapa usingizi na hawataweza kuzuia uchaguzi …
Soma zaidi »Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo, Machi 21, 2025 amewasili Mkoani Njombe ambapo pamoja na mambo mengine atakuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Siku ya Misitu Duniani inayofanyika kitaifa Mkoani Njombe
Akiwa Mkoani humo, Mheshimiwa Waziri Mkuu ametembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya misitu cha TANWAT (Tanganyika Wattle Company Limited) kilichopo Njombe mjini ambapo ameshuhudia shughuli mbalimbali zinazofanywa na kiwanda hicho. Akizungumza na wafanyakazi wa kiwanda hicho Waziri Mkuu amewasihi wafanyakazi wa kiwanda hicho kufanya kazi kwa weledi ili kufanikisha malengo …
Soma zaidi »