Recent Posts

Rais Samia Asherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika Pamoja na Wajukuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesherehekea Siku ya Mtoto wa Afrika akiwa pamoja na wajukuu wake katika Ikulu jijini Dar es Salaam. Siku hii huadhimishwa kila mwaka tarehe 16 Juni. Katika maadhimisho haya, Rais Samia amesisitiza umuhimu wa Serikali, familia, na jamii kwa …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AWEKA MSISITIZO KATIKA MAGEUZI YA KUKUA KIUCHUMI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika kuweka msisitizo juu ya muendelezo wa mageuzi katika Mashirika na Taasisi za Umma kwa lengo la kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi katika Taifa letu la Tanzania kwa manufaa ya Taifa na Watanzania wote kwa ujumla. Rais …

Soma zaidi »