Recent Posts

Rais Samia Suluhu Hassan Azungumzia Uzalishaji wa Kilimo Biashara

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msisitizo mpya juu ya umuhimu wa uzalishaji wa kilimo biashara nchini Tanzania, akilenga kuongeza tija na thamani katika sekta ya kilimo. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mkakati mpya wa kilimo biashara, Rais Samia alieleza mipango na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuboresha uzalishaji na …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AZINDUA MITAMBO YA KISASA YA KURUSHIA MATANGAZO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited. Vifaa hivyo ni pamoja na Magari ya kisasa ya kurushia matangazo (OB Van), kamera za kisasa pamoja na mfumo wa kusaidia maamuzi viwanjani (VAR). Vifaa hivyo …

Soma zaidi »