Maktaba Kiungo: VIONGOZI WA DINI

MAISHA HALISI YA MSHINDI WA TUZO SINEMA ZETU (SZIFF 2019), MUIGIZAJI BORA WA KIKE; Ni funzo chanyA+

• Anaitwa Flora Kihombo binti mwenye umri wa miaka 10 anayeendelea na elimu ya msingi (Darasa la Sita) •• Ni mtoto wa nne kuzaliwa katika familia duni yenye watoto 7 ambapo kutokana na ugumu wa maisha, wazazi wake iliwalazimu muwandikisha kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu mwaka …

Soma zaidi »

MUFTI: “NI LAZIMA DINI TUKEMEE USHOGA!”

Ni Mufti Abubakar Zuberi bin Ally Asema hayo alipokuwa akizungumza katika Baraza la Kitaifa la Maulid lililofanyika Korogwe mkioani Tanga. Amesema haiwezekani waumin wabaki wanafanya ibada lakini vitendo vya ushoga vinatokea na wanaovifanya wanaonekana na kuachwa bila kukemewa. Adai kidin, yapo mambo mawili; La kwanza ni kukataza (kukemea) na kuamrisha …

Soma zaidi »