Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete wahudhuria Mkutano wa African Leadership Forum Ikulu Jijini Dar Es Salaam. Mkutano huo pia unaudhuriwa na Marais wastaafu kutoka Nigeria,South Africa na Somalia.
Soma zaidi »WAZIRI SIMBACHAWENE AIELEZEA YA KAMATI BUNGE MCHAKATO WA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA
Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) leo Agosti 27, 2019 imewasilisha taarifa zake mbili kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini Dodoma. Taarifa zilizowasilishwa ni ya Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge yanayohusiana na majukumu ya Wizara yaliyotokana na Mapendekezo ya Kamati hiyo katika …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI JIJINI DODOMA
KISWAHILI LUGHA YA NNE RASMI KWA NCHI ZA SADC
Kiswahili kuwa lugha ya nne rasmi itakayotumika katika mikutano na machapisho mbali mbali ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Akitangaza katika Mkutano wa 39 wa Wakuu wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Mwenyekiti wa SADC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AKABIDHIWA UENYEKITI WA SADC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 17 Agosti, 2019 amekabidhiwa Uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC ulioanza leo katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere …
Soma zaidi »MATUKIO YA MKUTANO WA 39 WA WAKUU WA NCHI ZA SADC – DAR ES SALAAM, TANZANIA
LIVE CATCH UP: DHIFA YA KITAIFA ILIYOANDALIWA NA RAIS MAGUFULI KWA AJILI YA RAIS WA AFRIKA KUSINI CYRIL RAMAPHOSA
MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MKURUGENZI WA UN WOMAN
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amelitaka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Wanawake Duniani (UN WOMAN) kuandaa Tathmini ya kinchi kuhusiana na Kongamano la Beijing. Amesema ni Vyema kuwepo na uwezekano wa kuweza kuandaa Tathmini ya uhakika itakayoweza kuonesha hali halisi ya …
Soma zaidi »