OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAANDAA KIKAO CHA WAWEKEZAJI NA WADAU WA MIFUKO MBADALA WA PLASTIKI JIJINI DAR ES SALAAM.

WAZIRI  JANUARY
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiongea wakati wa Kikao kilichokutanisha Wadau na Wazalishaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre jijini Dar es Salaam.
WAZIRI JANUARY
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira January Makamba akiwa pamoja na Waziri waNchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki, Waziri wa Viwanda na Biashara Joseph Kakunda wakati wa kikao Wadau wa uzalishaji na uwekezaji wa mifuko mbadala wa plastiki kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
WADAU
Baadhi ya wadau wa uzalishaji na uwekezaji katika mifuko mbadala wa plastiki waliohudhuria kikao hiko katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Kikao hiko kiliandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS DKT MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KATIKA HAFLA ILIYOFANYIKA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *