Maktaba ya Kila Siku: May 29, 2019

PSSSF YATUMIA BILIONI 880 KULIPA MAFAO

Wanachama elfu kumi wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wamelipwa takribani Bilioni 880/- ikiwa ni malimbikizo ya Pensheni kwa wastaafu  tangu kuanzishwa kwa Mfuko huo mapema mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari  Jijini Dodoma Meneja Kiongozi, Uhusiano  wa mfuko huo Bi. Eunice Chiume amesema kuwa dhamira …

Soma zaidi »

WAZIRI JAFO AKABIDHI BIL 1.7 RUZUKU KWA VIJANA TOKA USAID

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo  amekabidhi hundi za mfano zenye thamani ya Tsh 1,731,038,850 kwa Taasisi tisa za vijana wa Mikoa ya Mbeya, Iringa pamoja na Zanzibar kwenye hafla ya iliyofanyika kwenye viwanja vya Sido Jijini Mbeya. Akizungumza katika hafla …

Soma zaidi »