Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo Prof. Mohammed Janabi akiwa na Mkuu wa Kitengo cha Matibabu ya Moyo kwa Watoto katika taasisi hiyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa taasisi hiyo Dkt. Naiz Majani wakibadilishana mawazo nje ya jengo la Kitengo cha Matibabu ya Moyo kwa Watoto cha taasisi hiyo ambalo lilitolewa mwaka jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Jengo hilo ambalo limemalizika kukarabatiwa mwezi uliopita na tayari limeshaanza kupokea wagonjwa, lina vitanda 40 kwa ajili ya watoto tu, na pia lina vitanda 8 kwa ajili ya wagonjwa mahututi (ICU) kwa watoto tu na muda wowote kuanzia sasa litafunguliwa rasmi.

JENGO LA MATIBABU YA MOYO KWA WATOTO KUFUNGULIWA RASMI

JKCI-01
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo Prof. Mohammed Janabi akiwa na Mkuu wa Kitengo cha Matibabu ya Moyo kwa Watoto katika taasisi hiyo ambaye pia ni Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa taasisi hiyo Dkt. Naiz Majani wakibadilishana mawazo nje ya jengo la Kitengo cha Matibabu ya Moyo kwa Watoto cha taasisi hiyo ambalo lilitolewa mwaka jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Jengo hilo ambalo limemalizika kukarabatiwa mwezi uliopita na tayari limeshaanza kupokea wagonjwa, lina vitanda 40 kwa ajili ya watoto tu, na pia lina vitanda 8 kwa ajili ya wagonjwa mahututi (ICU) kwa watoto tu na muda wowote kuanzia sasa litafunguliwa rasmi.

 

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

ONGEZENI KASI YA KUWAHUDUMIA WANANCHI – DKT. CHAULA

Watumishi wa afya nchini wametakiwa kuongeza kasi ya kuwahudumia wananchi kwenye vituo vya kutolea huduma …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *