Chakula cha jioni baina ya wasanii na wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.

live catch up: WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAWAALIKA WASANII CHAKULA CHA JIONI JIJINI DAR ES SALAAM

  • Ni katika Hotel ya Serena
  • Waziri Dkt. kigwangalla aiagiza TANAPA kununua boti ya kisasa itakayotumika kufanyia sherehe
  • aiagiza wizara kuandaa utaratibu wa kutengeneza filamu 3 za kisasa kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2019

Ad

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *