Chakula cha jioni baina ya wasanii na wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.
live catch up: WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAWAALIKA WASANII CHAKULA CHA JIONI JIJINI DAR ES SALAAM
Matokeo ChanyA+
August 30, 2019
Tanzania MpyA+
670 Imeonekana
- Ni katika Hotel ya Serena
- Waziri Dkt. kigwangalla aiagiza TANAPA kununua boti ya kisasa itakayotumika kufanyia sherehe
- aiagiza wizara kuandaa utaratibu wa kutengeneza filamu 3 za kisasa kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2019
Ad