BUNGE LAWAALIKA WADAU KUTOA MAONI JUU YA MAAZIMIO YALIYOWASILISHWA NA SERIKALI

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzana linawaalika Wadau kutoa maoni kuhusu Maazimio yaliyowasilishwa na Serikali kwa Mheshimiwa Spika kabla Maazimio hayajaridhiwa na Bunge katika Mkutano wa Kumi na Sita (16) unaoendelea Jijini Dodoma. Maazimio hayo yameelekezwa kwenye Kamati zifuatazo;-
Mosi, Tarehe 05 Septemba, 2019 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji itapokea maoni ya wadau kuhusu Azimio la Bunge kuridhia Itifaki ya Maedeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika kuhusu kulinda Hakimili na Wagunduzi wa Aina mpya za Mbegu za Mimea. (The Protocol for Protection of New Varieties of Plant [Plant Breeder’s Rights] in the Southern African Development Community-SADC).
Kikao cha kupokea maoni ya Wadau kuhusu Azimio hili kimepangwa kufanyika saa 7:00 Mchana katika ukumbi Na. 43 ulioko Jengo la Utawala Annex-Ofisi Kuu ya Bunge, Dodoma.
Pili, Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira itapokea maoni ya Wadau kuhusu Maazimio matatu kama ifuatavyo;
Tarehe 05 Septemba, 2019 maoni ya Wadau kuhusu, Azimio la Kuridhia Itifaki ya Marrakesh inayowezesha Upatikanaji wa Kazi zilizochapishwa kwa Watu Wasioona, Wenye Uoni Hafifu au Ulemavu unaomfanya Mtu kushindwa kusoma ya Mwaka 2013 (The Marrekesh Treaty to Facilitate Access to Published Works for Persons who are Blind, Visually Impaired or Otherwise Print Disabled (MVT) 2013).
Tarehe 06 Septemba, 2019 maoni ya Wadau kuhusu Azimio la Kuridhia Mkataba wa Minamata kuhusu Zebaki (Minamata Convention on Mercury); na
Tarehe 06 Septemba, 2019 maoni ya Wadau kuhusu, Azimio la Kuridhia Itifaki ya pamoja ya ziada ya Nagoya – Kuala Lumpur kuhusu Uwajibikaji Kisheria na Faida kwa Madhara yanayoweza kutokea kutokana na matumizi ya Bioteknolojia ya Kisasa katika kutekeleza Itifaki ya Cartagena (Nagoya – Kuala Lumpur Supplementary Protocol on Liability and Redress on Cartagena Protocol on Biosafety).
Vikao vya Kamati hii kupokea maoni ya Wadau kuhusu maazimio haya vimepangwa kufanyika saa 7:00 Mchana katika ukumbi Na. 49 ulikoko Jengo la Utawala Annex-Ofisi Kuu ya Bunge, Dodoma.
Tatu, Tarehe 05 Septemba, 2019 Kamati ya ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii itapokea maoni ya Wadau kuhusu Maazimio yafuatayo;
Azimio la kuridhia Mapendekezo ya Ubadilishaji Hadhi sehemu ya eneo la Pori la Akiba la Selous kuwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere.
Azimio la kuridhia mapendekezo ya Ubadilishaji Hadhi Sehemu ya eneo la Pori la Akiba la Kigosi kuwa Hifadhi ya Taifa ya Kigosi.
Azimio la Kuridhia Mapendekezo ya Ubadilishaji wa Hadhi sehemu ya eneo la Pori la Akiba la ugalla kuwa Hifadhi ya Taifa ya Mto ugalla
Vikao vya Kamati hii kupokea maoni ya Wadau kuhusu maazimio haya vimepangwa kufanyika kuanzia saa 7:00 Mchana katika ukumbi Na. 41 ulikoko Jengo la Utawala Annex-Ofisi Kuu ya Bunge, Dodoma.
Kwa kuzingatia umuhimu wa Maazimio haya, Kamati zinawaalika Wadau wote wenye maoni kuhusu Maazimio haya kufika na kuwasilisha maoni yao kabla hayajapelekwa katika hatua nyingine. Maoni ya Wadau yanaweza pia kuwasilishwa kwa njia ya posta au Baruapepe kwa anuani ifuatayo:-
Katibu wa Bunge,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA.
Baruapepe ca*@bu***.tz
Imetolewa na: – Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA.
04 Septemba, 2019
Ad

Unaweza kuangalia pia

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA

11 Maoni

  1. южный парк бесплатно в хорошем качестве https://southpark-serial.ru

  2. Карьерный коуч https://vminske.by/fashion/kto-takie-karernye-konsultanty — эксперт рынка труда, который помогает людям определить свои карьерные цели, развиваться в выбранной области и достигать успеха в профессиональной деятельности.

  3. волчонок смотреть онлайн все сезоны https://volchonok-tv.ru

  4. Harry Edward Kane https://harry-kane.prostoprosport-ar.com is an English footballer, forward for the German club Bayern and captain of the England national team. Considered one of the best football players in the world. He is Tottenham Hotspur’s and England’s all-time leading goalscorer, as well as the second most goalscorer in the Premier League. Member of the Order of the British Empire.

  5. Maria Sharapova https://maria-sharapova.prostoprosport-ar.com Russian tennis player. The former first racket of the world, winner of five Grand Slam singles tournaments from 2004 to 2014, one of ten women in history who has the so-called “career slam”.

  6. Larry Joe Bird https://larry-bird.prostoprosport-br.com American basketball player who spent his entire professional career in the NBA ” Boston Celtics.” Olympic champion (1992), champion of the 1977 Universiade, 3-time NBA champion (1981, 1984, 1986), three times recognized as MVP of the season in the NBA (1984, 1985, 1986), 10 times included in the symbolic teams of the season (1980-88 – first team, 1990 – second team).

  7. Khvicha Kvaratskhelia https://khvicha-kvaratskhelia.prostoprosport-br.com Georgian footballer, winger for Napoli and captain of the Georgian national team. A graduate of Dynamo Tbilisi. He made his debut for the adult team on September 29, 2017 in the Georgian championship match against Kolkheti-1913. In total, in the 2017 season he played 4 matches and scored 1 goal in the championship.

  8. Kevin De Bruyne https://kevin-de-bruyne.prostoprosport-br.com Futebolista belga, meio-campista do Manchester club City” e a selecao belga. Formado pelos clubes de futebol “Ghent” e “Genk”. Em 2008 iniciou sua carreira adulta, fazendo sua estreia no Genk.

  9. Luka Modric https://luka-modric.prostoprosport-cz.org je chorvatsky fotbalista, stredni zaloznik a kapitan spanelskeho tymu. klub Real Madrid, kapitan chorvatskeho narodniho tymu. Uznavan jako jeden z nejlepsich zalozniku nasi doby. Rytir Radu prince Branimira. Rekordman chorvatske reprezentace v poctu odehranych zapasu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *