MRADI WA MATUMIZI YA GESI MAJUMBANI MKOANI MTWARA KUOKOA MAZINGIRA

  • Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema kuwa, mradi wa matumizi ya gesi majumbani ambao utazinduliwa hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara utasaidia kuepuka matumizi ya mkaa ambao licha ya kuharibu mazingira, husabisha maradhi mbali mbali.
  • Alisema hayo, Septemba 14, 2019 kwa nyakati tofauti wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani, alipokuwa akizungumza na wananchi katika vijiji vya Mangwi na Njopeka, wakati alipoenda kushiriki katika tukio la kukabidhi vifaa tiba kwa Zahanati ya Mangwi na mfano wa hundi ya shilingi milioni 19,480,000 kwa shule ya msingi Njopeka vilivyotolewa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
GS 1-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (wa Tatu kushoto) akimkambidhi mfano wa Hundi, Mwalimu Mkuu wa Shule Msingi Njopeka (wa Nne kulia) ambayo imetolewa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Wa Pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt James Mataragio.
  • Naibu waziri, alitoa wito kwa wananchi watakaopitiwa na mradi huo  kutumia gesi katika shughuli zao mbali mbali za kila siku majumbani hali itakayopunguza matumizi ya mkaa na kutunza mazingira  na kwamba  mradi huo unatarajiwa kufika hadi katika wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
  • Vilevile, Naibu Waziri aliipongeza TPDC kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kusimamia sekta ya Mafuta na Gesi nchini na jitihada zao zimewezesha  masuala mbalimbali ikiwemo kupelekea asilimia 50 ya umeme   nchini kuzalishwa kwa kutumia Gesi Asilia.
  •  “Niwapongeze pia kwa kusimamia vyema bomba la Gesi linalozewesha gesi kusafirishwa mpaka Dar es Salaam  na kuanza kusambazwa kwa matumizi ya majumbani, pia limewezesha kupata umeme mwingi ambao sasa tunausambaza hadi vijijini kupitia mradi wa REA na TANESCO.” Alisema Mgalu
GS 3-01
Naibu Waziri wa Nishati,, Subira Mgalu (kulia) akikabidhi vifaa vya tiba kwa Zahanati ya Kijiji cha Mangwi wilayani Kibiti. Wa Pili kulia ni Mbunge wa Kibiti Ally Ungando. Wa Tatu kutokaa kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt James Mataragio.
  • Wananchi  wa vijiji hicho walimpongeza Naibu Waziri kwa  jitihada mbalimbali anazofanya ili kuleta maendeleo kupitia nyanja mbali mbali na kutatua changamoto  mbali mbali zinazowakabili.
  • Akiwa wilayani humo, Naibu Waziri aliwasha umeme katika Kijiji cha Kingwira ambapo aliwasihi waatalamu ambao wanafanya kazi za wiring kupunguza bei ili kila mwananchi aweze  kumudu gharama.
  • ‘Serikali imewatengenezea mazingira wezeshi, imewapa kazi, wapunguzieni gharama wananchi ili waweze kumudu gharama. ’’alisema Mgalu
  • Naibu Waziri pia alisisitiza  kuhusu suala la nguzo kutolipiwa katika miradi ya umeme vijijini  na kuwapongeza Mameneja wa TANESCO wanaohakikisha kwamba agizo hilo la Serikali linatekelezwa.
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KALEMANI AFUNGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA UMEME – KIGOMA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amefungua kiwanda cha Nguzo cha Qwihaya, kilichopo katika Mtaa …

15 Maoni

  1. Профессиональные seo https://seo-optimizaciya-kazan.ru услуги для максимизации онлайн-видимости вашего бизнеса. Наши эксперты проведут глубокий анализ сайта, оптимизируют контент и структуру, улучшат технические аспекты и разработают индивидуальные стратегии продвижения.

  2. The Dota 2 website https://dota2.com.az Azerbaijan provides the most detailed information about the latest game updates, tournaments and upcoming events. We have all the winning tactics, secrets and important guides.

  3. Kevin De Bruyne https://liverpool.kevin-de-bruyne-fr.com Belgian footballer, born 28 June 1991 years in Ghent. He has had a brilliant club career and also plays for the Belgium national team. De Bruyne is known for his spectacular goals and brilliant assists.

  4. Latest news and analysis of the Premier League https://premier-league.kz. Full descriptions of matches, team statistics and the most interesting football events. Premier Kazakhstan is the best place for football fans.

  5. Spider-Man https://spiderman.kz the latest news, articles, reviews, dates, spoilers and other latest information. All materials on the topic “Spider-Man”

  6. Follow Liam Neeson’s career https://hostage.liam-neeson.cz as he fulfills his potential as Brian Mills in the film “Taken” and becomes one of the leading stars of Hollywood action films.

  7. An article about the triumphant 2023 Ferrari https://ferrari.charles-leclerc.cz and their star driver Charles Leclerc, who became the Formula world champion 1.

  8. Sports news https://gta-uzbek.com the most respected sports site in Uzbekistan, which contains the latest sports news, forecasts and analysis.

  9. Официальный сайт онлайн-казино Vavada https://vavada-kz-game.kz это новый адрес лучших слотов и джекпотов. Ознакомьтесь с бонусами и играйте на реальные деньги из Казахстана.

  10. Coffeeroom https://coffeeroom.by – магазин кофе, чая, кофетехники, посуды, химии и аксессуаров в Минске для дома и офиса.

  11. Pedri’s story https://barcelona.pedri-fr.com from his youth in the Canary Islands to becoming a world-class star in Barcelona, ??with international success and recognition.

  12. Discover Casper Ruud’s https://tennis.casper-ruud-fr.com journey from his Challenger debut to the top 10 of the world tennis rankings. A unique success.

  13. Explore the remarkable journey of Vinicius Junior https://real-madrid.vinicius-junior.net, the Brazilian prodigy who conquered the world’s biggest stage with his dazzling skills and unparalleled ambition at Real Madrid.

  14. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  15. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *