SERIKALI KUPUNGUZA BEI YA KUUNGANISHA UMEME KATIKA MIJI NA MANISPAA

  • Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu amesema Serikali inaaangalia namna ya kufanya tathmini ya kupunguza bei ya kuunganisha umeme kwa wateja waliopo katika Miji na Manispaa ili huduma hiyo iweze kumfikia kila mmoja na kuondoa malalamiko.
  • Mgalu alisema hayo, Desemba 6,2019, baada ya kubaini  changamoto mbalimbali zilizoibuliwa na wawekezaji na wafanyabiara katika Mikutano ya Mashauriano baina ya Serikali,Wawekezaji na Wafanyabiashara, iliyofanyika katika Mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam.
  • Alieleza kuwa changamoto kubwa iliyokuwa ikizungumzwa katika sekta ya nishati katika mikutano hiyo ni pamoja natofauti kubwa ya bei ya kuunganisha umeme kwa wateja waliopo katika Vijiji, Miji na Manispaa kuwa haziendani na mazingira halisi ya eneo husika.
1-01
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu akizungumza wakati wa mkutano baina ya serikali, wawekezaji na wafanyabiashara, uliofanyika Mkoani Pwani
  • Mgalu alisema kuwa wafanyabiashara na wawekezaji wengi wamedai kuwa pamoja na serikali kuweka kiwango cha bei ya chini cha Shilingi  27,000 kwa kuunganishiwa umeme vijijini lakini wamekuwa wakitozwa kiwango kikubwa cha fedha tofauti na ilivyoelekezwa kwa madai kuwa wapo katika maeneo ambayo hayakupitiwa na mradi wa usambazaji umeme vijijini REA  hali yakuwa wapo vijijini.
  • Hata hivyo alisema kuwa serikali inatambua hali hiyo na kwamba inaangalia namna ya kupunguza bei ya kuunganisha umeme hadi maeneo hayo ya majiji na manispaa ili kila mwananchi apate huduma hiyo kwa urahisi na kwa bei nafuu.
  • Pia, alibainisha endapo bei ya kuunganisha umeme katika Majiji na Manispaa kushuka, pia baada ya kukamilika kwa Mradi  wa kufua umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Rufiji wa Julias Nyerere utakaozalisha zaidi ya Megawati 2000 za umeme pia bei ya  kununua umeme itashuka.
2-01
Baadhi ya wawekezaji na wafanyabiashara wakiwasikiliza Mawaziri na Naibu Mawaziri wakati wa mkutano baina ya Serikali, Wawekezaji na Wafanyabiashara uliofanyika Dar es salaam.
  • Alitumia mkutano huo kuwaeleza wafanyabiashara na wawekezaji wenye changamoto za umeme katika maeneo yao kufika wizara ya nishati ili waweze kutatuliwa changamoto hizo kwa kuwa nishati ya umeme ni moyo wa uchumi na bila umeme hakuna viwanda.
  • Mikutano hiyo ilihidhuriwa na Mawaziri, Naibu Mawaziri, Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Kiserikali na Binafsi ambapo tayari Mikoa saba imekwishafanya mikutano kama hiyo ambayo ni agizo la Rais Dkt, John Magufuli alilolitoa kwa Mawaziri baada ya kufanya kikao na wafanyabiashara hao mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu, 2019.
Ad

Unaweza kuangalia pia

BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LA PITISHA BAJETI YA BILIONI 170.9 KWA MWAKA FEDHA 2020/ 2021

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, katika Mkutano wake maalumu wa Baraza …

19 Maoni

  1. Профессиональные seo https://seo-optimizaciya-kazan.ru услуги для максимизации онлайн-видимости вашего бизнеса. Наши эксперты проведут глубокий анализ сайта, оптимизируют контент и структуру, улучшат технические аспекты и разработают индивидуальные стратегии продвижения.

  2. Pin Up official https://pin-up.adb-auto.ru website. Login to your personal account and register through the Pin Up mirror. Slot machines for real money at Pinup online casino.

  3. Latest Diablo news https://diablo.com.az game descriptions and guides. Diablo.az is the largest Diablo portal in the Azerbaijani language.

  4. Lev Ivanovich Yashin https://lev-yashin.com.az Soviet football player, goalkeeper. Olympic champion in 1956 and European champion in 1960, five-time champion of the USSR, three-time winner of the USSR Cup.

  5. Check out Minecraft kz https://minecraft-kz.kz for the latest news, guides, and in-depth reviews of the game options available. Find the latest information on Minecraft Download, Pocket Edition and Bedrock Edition.

  6. Latest news https://android-games-ar.com about Android games, reviews and daily updates. The latest information about the most exciting games.

  7. Harry Kane’s journey https://bavaria.harry-kane-cz.com from Tottenham’s leading striker to Bayern’s leader and Champions League champion – this is the story of a triumphant ascent to the football Olympus.

  8. Find out how Pedri https://barcelona.pedri-cz.com becomes a key figure for Barcelona – his development, influence and ambitions determine the club’s future success in world football.

  9. Jon Jones https://ufc.jon-jones.cz a dominant fighter with unrivaled skill, technique and physique who has conquered the light heavyweight division.

  10. Latest news and information about Marcelo https://marselo-uz.com on this site! Find Marcelo’s biography, career, game stats and more.

  11. Explore the dynamic world of sports https://noticias-esportivas-br.org through the lens of a sports reporter. Your source for breaking news, exclusive interviews, in-depth analysis and live coverage of all sports.

  12. The history of Michael Jordan’s Chicago Bulls https://chicago-bulls.michael-jordan-fr.com extends from his rookie in 1984 to a six-time NBA championship.

  13. The fascinating story of Daniil Medvedev’s https://tennis.daniil-medvedev-fr.biz rise to world number one. Find out how a Russian tennis player quickly broke into the elite and conquered the tennis Olympus.

  14. The fascinating story of Gigi Hadid’s rise to Victoria’s Secret Angel https://victorias-secret.gigi-hadid-fr.com status and her journey to the top of the modeling industry.

  15. The fascinating story of Marcus Rashford’s rise https://manchester-united.marcusrashford-br.com from academy youth to the main striker and captain of Manchester United. Read about his meteoric rise and colorful career.

  16. From academy product to captain and leader of Real Madrid https://real-madrid.ikercasillas-br.com Casillas became one of the greatest players in the history of Real Madrid.

  17. The incredible story https://napoli.khvichakvaratskhelia-br.com of a young Georgian talent’s transformation into an Italian Serie A star. Khvicha Kvaraeshvili is a rising phenomenon in European football.

  18. N’Golo Kante https://al-ittihad.ngolokante-ar.com the French midfielder whose career has embodied perseverance, hard work and skill, has continued his path to success at Al-Ittihad Football Club, based in Saudi Arabia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *