HARMONIZE NA VIKUNDI VYA UTAMADUNI VYANOGESHA SHEREHE ZA MIAKA 58 YA UHURU NA 57 YA JAMHURI UWANJA WA JAMHURI JIJINI MWANZA

2-01
Msanii Rajabu Abduli maarufu kama “Harmonize” akitumbuiza katika kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019

3-01
Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara akicheza ngoma na wacheza ngoma ya Litungu ya kabila la Wakurya waliokuwa wakitumbuiza kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA, ATEMBELEA KIWANDA CHA NYANZA BOTTLING, KILICHOPO JIJINI MWANZA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *