Msanii Rajabu Abduli maarufu kama “Harmonize” akitumbuiza katika kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara akicheza ngoma na wacheza ngoma ya Litungu ya kabila la Wakurya waliokuwa wakitumbuiza kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019