Maktaba ya Mwaka: 2020

TARI NALIENDELEA KUONGEZA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO MKOANI RUKWA

Bodi ya Korosho Tanzania kwa ushirikiano na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) kituo cha Naliendele Mkoani Mtwara Imemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo kilo 400 za mbegu za korosho ili aweze kuzigawa kwa Wakuu wa Wilaya na hatimae kuwafikia wakulima kupitia Maafisa kilimo wa halmashauri …

Soma zaidi »

WAZIRI LUKUVI ANEEMESHA VIJIJI VITATU KWA KUVIPATIA EKARI MIA TATU SAME

Na Munir Shemweta, SAME Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi ameshusha neema kwa vijiji vitatu vya Ndungu, Msufini na Mpirani vilivyopo tarafa Ndungu wilayani Same mkoani Kilimanjaro kwa kuvipatia ekari mia tatu vijiji vitatu. Hatua hiyo inafuatia wananchi wa vijiji hivyo kuomba kupatiwa sehemu ya ardhi …

Soma zaidi »

DKT. GWAJIMA AWATAKA WAKURUGENZI WA TAASISI KUAINISHA CHANGAMOTO NA MAHITAJI ILI KUTEKELEZA ILANI

Na. Catherine Sungura,WAMJW-DodomaWakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wametakiwa kuanisha changamoto na mahitaji yote yanayohitajika ili kuakisi na kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuwezesha kuleta maendeleo katika sekta ya afya nchini. Hayo yamesemwa jana na Waziri wa Wizara …

Soma zaidi »

JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAIPONGEZA TANZANIA KWA MIRADI YA KIMKAKATI

Jumuiya ya Afrika Mashariki imeeleza kujivunia na miradi mikubwa nay a kimkakati inayotekelezwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba kukamilika kwake kutachochea ukuaji wa uchumi na biashara katika Jumuiya hiyo pia kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji Naibu Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki anayeshughulikia …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA KIGONGO – BUSISI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 18, 2020 amekagua na kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi mkubwa wa daraja la (Kigongo – Busisi) Mkoani Mwanza. Daraja hilo linaurefu wa kilomita 3.2 na barabara unganishi kilomita 1.66 na linagharimu shilingi bilioni 699.2

Soma zaidi »

KIGOMA KUWA KINARA WA UZALISHAJI MICHIKICHI NCHINI – KATIBU MKUU KUSAYA

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe.Thobias Andengenye amesema wamejipanga kuhakikisha agizo la serikali la kuongeza uzalishaji michikichi nchini ambapo wakulima wameanza kupanda aina mpya ya miche ya Tenera yenye kutoa mafuta mengi. Mhe. Andengenye amesema hayo (17.12.2020) wakati alipofanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya aliyepo …

Soma zaidi »

WAZIRI MHAGAMA AWAASA WAFANYAKAZI OSHA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (katikati) pamoja na wajumbe wa meza kuu wakiimba wimbo wa Umoja na Mshikamano wakati wa Mkutano wa Baraza hilo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, …

Soma zaidi »