Maktaba ya Kila Siku: May 31, 2021

TANZANIA NA KENYA ZAKUBALIANA KUONDOA VIKWAZO 30 VYA BIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU, VIKWAZO VINGINE 34 VIPO KWENYE MKAKATI WA UTEKELEZAJI

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo (Mb) amewahamasisha  wafanyabiashara wa Kitanzania kuendelea kufanya biashara na kwenda kuwekeza nchini Kenya kwa kuzingatia sheria, taratibu na miongozo iliyopo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki  na amewataka  kuwasiliana na Wizara iwapo kutakuwa na changamoto zozote. Hayo ameyasema katika Mkutano wa tano (5) …

Soma zaidi »