Maktaba ya Kila Siku: May 25, 2021

TANZANIA YASISITIZA KUWA BADO NI MWANACHAMA WA MAHAKAMA YA AFRIKA KUHUSU HAKI ZA BINADAMU NA WATU

Tanzania imesema bado ni mwanachama hai wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu na kwamba itaendelea kushirikiana na Mahakama hiyo pamoja na Taasisi nyingine za Utawala bora na haki za binadamu kuhakikisha haki za kila Mtanzania zinalindwa na kutetewa. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa …

Soma zaidi »