Daladala na magari mengine kutoka Posta kuelekea Airport yapita upande wake bila kusimama na hata yale yanayotoka Airport kuelekea Posta nayo yanapita bila kusubiri kuongozwa na taa. Magari yanayotumia barabara ya Mandela ndiyo pekee yanaongozwa na taa za kisasa zilizofungwa katika kuta nzito za sehemu ya katikati ya flyover hiyo. …
Soma zaidi »KIGOMA INAJENGWA UPYA
Barabara za mji wa Kigoma zajengwa upya kwa kiwango cha lami. Barabara ya Lusimbi inayotokea mtaa wa Shaurimoyo Mwanga kupitia barabara kuu ya Lumumba,Legezamwendo,Mabatini na inakuja kutokea Pefa Ujenzi jirani kabisa na Kanisa la Efatha Ministry ambayo inakutana na Kasulu Road Pia barabara Mji mwema ikianzia maeneo ya Bima Kigoma …
Soma zaidi »LIVE: Kutoka Dodoma; Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Tamasha la Urithi
• Ni katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Fuatilia kwa kubofya link Hii
Soma zaidi »HISTORIA NA MAISHA YA DKT. JAKAYA KIKWETE
•Nitabu kipya kinaandikwa na kinakuja hivi karibuni • Ni cha historia na maisha ya Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne. • Kitakuwa na safari nzima ya maisha, uongozi na hali ya sasa ya Mhe. Rais Mstaafu #TupoVizuri #MATAGA (tazama video …
Soma zaidi »UJENZI WA AIRPORT MPYA UMEFIKIA 81%
• Ni uwanja wa Ndege wa Kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati • Jina lake litabaki lile lile Uwanja waNdege wa Kimataifa (Julius Nyerere Julius Nyerere International Airport) • Huduma kwa wasafiri kuongezeka kwa 400% ambapo itakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 kwa mwaka kutoka …
Soma zaidi »SIKILIZA Radio chanyA+ REDIO YA MTANDAONI BURE
• Ni redio inayosimulia na kufafanua Matokeo ChanyA+ yanayofanywa kila dakika, kila saa TANZANIA 🇹🇿 katika ujenzi wa Taifa lenye uchumi imara na madhubuti kwa mkunufaisha wananchi wote. BOFYA • Ni redio iliyosheheni hotuba za kizalendo za viongozi wakuu wa nchi, makala ChanyA+ za miradi inayotekelezwa na serikali kwa sasa, …
Soma zaidi »CHAMWINO: “Kaitumie sheria inayokupa mamlaka ya kuwafikisha mahakisha mahakamani wala rushwa ‘DIRECT’ bila kupita kwa yeyote” – RAIS MAGUFULI
Viongozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, wamekula kiapo mbele yake katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma siku ya Jumatano Septemba 12, 2018. “Nenda ukafanye kazi.” Kauli ya Rais Magufuli akimuagiza Mkurugenzi wa mpya wa Taasisi ya Kusuia na Kupambana na …
Soma zaidi »Rais wa Tanzania amedhamiria na amejitoa mhanga kuijenga nchi ya Tanzania upyA+
DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI; •Rais wa Watanzania wa Hali ya chini, Masikini, wenye shida, wahitaji, wenye kumudu mlo wa siku kwa taabu; akiwa na lengo la kuwainua, kuwapa nguvu ya Kufanya Kazi na kupata kipato, • Rais mwenye kuwafanya watu wote wa nchi yake bila matabaka kuwa sehemu ya …
Soma zaidi »SOMA JARIDA: Serekali yatenga Bilioni 20 kujenga Jengo la Kisasa Muhimbili.
UGAWAJI MIL.50 KILA KIJIJI UNAKUJA; LAKINI KWA SASA, BADO – MAMA SAMIA
Awaasa wananchi kuwa makini na matapeli wanaochangisha pesa wakidai watawaiginza katika mgao wa fedha hizo. Asema wapo wanatumia jina la Ofisi yake kuwalaghai wananchi Asema pesa hizo zitakuja lakini kwa sasa serikali inashughulikia mambo ya huduma za jamii kwanza.
Soma zaidi »