MKOA WA MTWARA

SERIKALI KUIMARISHA USAFIRI WA MAJINI – WAZIRI MKUU

Eneo la bandari ya Mtwara linalopanuliwa katika maboresho yanayofanywa na serikali ili kukuza uwezo wa bandari hiyo. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekagua upanuzi huo Julai 7, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malengo ya Serikali ni kuimarisha usafiri kwenye maziwa yote na bahari ili kuwawezesha …

Soma zaidi »