Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga leo March 16,12021.Makamu wa Rais yupo Mkoani Tanga akiendelea na ziara yake ya kikazi ya siku 5 kutembelea na kukagua Miradi ya …
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimwagilia Maji Mti aina ya Paukaria alioupanda katika eneo la Kiwanda cha Kuchakata Mahindi Michungwani Segera Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga leo March 15,2021 baada ya kuweka Jiwe la Msingi Kiwanda hicho. Makamu wa Rais ameanza ziara …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU ACHANGISHA SH. MILIONI 18.9 KUMSAIDIA MTOTO MIRIAM
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameendesha harambee ya papo kwa papo na kuchangisha sh. milioni 18.9 ambapo kati ya hizo, sh. milioni 10 zimetolewa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akifuatilia tukio hilo kupitia Televisheni. Fedha hiyo ilichangishwa kwa ajili ya Miriam Msagati, binti mwenye ulemavu wa mwili ili ziweze …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU AAGIZA KODI NA TOZO ZA MKONGE ZIFANYIWE MAPITIO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo ifanye mapitio ya kodi na tozo zote zilizopo katika zao la mkonge kwa lengo la kubaini ni zipi zenye manufaa kwa wadau na Taifa na kuainisha zisizokuwa na tija ili zifanyiwe mchakato wa kuondolewa. Pia, Waziri Mkuu alizitaka taasisi za kifedha nchini ziendelee …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU ATOA AGIZO UENDELEZAJI ZAO LA MKONGE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza Halmashauri zinazolima mkonge nchini pamoja na wakulima wakubwa wa mkonge watenge ekari 10 kwa akili ya kuanzisha vitalu vya kuzalisha miche ya mkonge ili kupunguza tatizo la upungufu wa mbegu. Pia, Waziri Mkuu ameiagiza Wizara ya Kilimo itenge fedha katika bajeti yake kwa ajili ya …
Soma zaidi »SERIKALI IMEANZA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI YA BIASHARA KATIKA SEKTA YA MISITU
Serikali imeanza kuweka mazingira mazuri yatakayowezesha sekta ya misitu kuchangia kikamilifu katika ukuaji wa uchumi; kuwaongezea wananchi kipato na kuzalisha ajira. Naibu Kamishna wa Uhifadhi – TFS Mohamed Kilongo anasema hatua hiyo inalenga kuimarisha utekelezaji wa Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji Nchini ili shughuli za uchumi na …
Soma zaidi »MILLIONI 715 ZATUMIKA KUBORESHA OFISI, MAKAZI YA VIONGOZI TANGA
Shilingi milioni 715 zimetumika kukarabati Nyumba za Wakuu wa Wilaya za Lushoto na Korogwe, kujenga nyumba ya Katibu Tawala wa Wilaya ya Lushoto na Ofisi nane za tarafa katika Wilaya hizo.Ujenzi na Ukarabati wa nyumba na ofisi hizo ni sehemu ya utekelezaji wa azima Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha …
Soma zaidi »MALI ZOTE ZA WAKULIMA WA MKONGE KURUDISHWA -WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli itahakikisha mali zote za wakulima wa zao la mkonge nchini zinarudishwa mikononi mwao na hakuna mtu yeyote atakayeonewa.“Tutarudisha mali zote za wakulima na ninawahakikishia hakuna mtu yoyote atakayeonewa, kama tulivyorudisha hizi mali za …
Soma zaidi »