Katika hatua nzuri ya utekelezaji, eneo la uwekezaji la Jiji la Kilimo Mkulazi linaendelea kuandaliwa. Kampuni za Longping na Eagle Hills tayari zimekamilisha usafishaji wa mashamba na zinatarajia kuanza upandaji hivi karibuni. Jiji la Kilimo Mkulazi linatarajiwa kuleta manufaa yafuatayo: Mtaji wa Uwekezaji: Milioni 576 USD Uzalishaji wa Sukari: Tani …
Soma zaidi »Hospitali ya Wilaya ya Gairo, ambayo imejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 4.8, ni mradi mkubwa unaolenga kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa Gairo na maeneo jirani
#NaHayaNdiyoMatokeoChanyA+ #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, Watumishi na Wananchi wa maeneo Jirani mara baada ya kuzindua kiwanda cha Sukari Mkulazi, Mbigiri mkoani Morogoro, tarehe 7 Agosti, 2024.
#KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya #MSLAC
Soma zaidi »Rais Samia Suluhu Ifakara
Katika hotuba yake, Rais Samia aliwashukuru wananchi wa Ifakara kwa mapokezi mazuri na kueleza kuwa serikali yake imejipanga kuendelea kuboresha huduma za msingi kama vile elimu, afya, na miundombinu. Aliwaeleza kuwa miradi mikubwa kama Kituo cha Kupoza Umeme Ifakara na reli ya SGR ni sehemu ya mkakati wa serikali katika …
Soma zaidi »MAENDELEO UJENZI WA SHULE ZA WASICHANA
ZIARA YA RC MOROGORO YAUKATAA MRADI WA BARABARA MOROGORO VIJIJINI
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Fatma Mwassa amekataa Mradi wa Barabara ya Zege iliyojengwa Chini ya kiwango , katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kata ya Matombo barabara ya Kigongo Juu . Mkuu wa Mkoa Mhe Fatma Mwassa amemuagiza Katibu tawala wa Mkoa docta Mussa pamoja na Engineer wa Mkoa …
Soma zaidi »RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA SOKO KUU LA MKOA WA MOROGORO (MOROGORO CENTRAL MARKET)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare wakati akivuta utepe kufungua Soko Kuu la Morogoro (Morogoro Central Market) leo tarehe 11 Februari 2021 mkoani Morogoro. Rais wa Jamhuri …
Soma zaidi »MAENDELEO YA UJENZI WA KITUO JUMUISHI CHA UTOAJI HAKI CHA MAHAKAMA YA TANZANIA KINACHOJENGWA MJINI MOROGORO
Maendeleo ya Ujenzi wa Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Mahakama ya Tanzania kinachojengwa Mjini Morogoro. Jengo hilo litajumuisha Ngazi zote za Mahakama na Wadau wote wa shughuli za Kimahakama, Ujenzi wa Jengo hilo unatarajia kukamilika ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu. Picha na Maelezo Tv
Soma zaidi »AGIZO LA RAIS DKT MAGUFULI LAANZA KUTEKELEZWA MKOANI MOROGORO
Wananchi wa eneo la Ilonga Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro wamemshukuru Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kutekeleza ahadi yake ya kuunda kamati maalum ya kutatua kero za migogoro ya ardhi inayosababisha maafa kwa wananchi pamoja na ukosefu wa huduma za afya baada ya mmojawapo wa wajumbe wa kamati hiyo kufika katika …
Soma zaidi »RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA MAHANDAKI YATAKAYOPITISHA TRENI YA KISASA YA UMEME (SGR) KILOSA MKOANI MOROGORO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ujenzi Eng. Isack Kamwelwe pamoja na viongozi mbalimbali akiweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Mahandaki ya Reli yatakayopitisha Treni ya Kisasa ya Umeme Standard Gauge katika eneo la Kilosa mkoani Morogoro. Rais wa Jamhuri …
Soma zaidi »