Baraza la Mawaziri wa Asasi ya SADC ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama wakutana katika mkutano wa dharura na kujadili masuala ya siasa, ulinzi na usalama. Ujumbe wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
November, 2020
-
27 November
MKANDARASI ATAKIWA KUMALIZA UJENZI WA BARABARA ZA MJI WA SERIKALI IFIKAPO JULAI 2021
Na. Bebi Kapenya Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuagiza Mkandarasi Kampuni ya China Heinan International Cooperation Co. Ltd (CHICO) anayetekeleza Mradi wa ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha Lami zenye urefu wa Km 51.2 katika Mji wa Serikali Mtumba kukamilisha …
Soma zaidi » -
27 November
DKT. MPANGO AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA SOKO LA TANGAWIZI KIGOMA
Na Josephine Majura, Kigoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango, ameahidi kulipatia ufumbuzi tatizo la soko la zao la biashara la Tangawizi linalolimwa kwa wingi Kata ya Munzeze wilayani Buhigwe mkoani Kigoma. Dkt. Mpango ametoa ahadi hiyo katika Kata ya Munzeze mkoani Kigoma, akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo ambapo amesema atatafuta …
Soma zaidi » -
27 November
MA – DC MKOANI RUKWA KUSIMAMIA TATHMINI YA MWAKA WA MTOTO JANUARI 2021
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwaonesha Mkakati wa miaka mitano wa Kupambana na Mimba za Utotoni katika Mkoa kwa wadau waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mradi wa kuzuia ndoa na mimba za utotoni kabla ya kuzindua mradi huo katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa. …
Soma zaidi » -
26 November
MAKATIBU WAKUU SADC -TROIKA WAJADILI HALI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA
Na Mwandishi wetu, Gaborone Makatibu Wakuu wa SADC -TROIKA wamekutana na kujadiliana Mambo mbalimbali yakiwemo masala ya hali ya Siasa, Ulinzi na Usalama ndani ya SADC mjini Gaborone, Botswana. Awali, Mkutano wa Makatibu Wakuu ulifunguliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Botswana, Bw. …
Soma zaidi » -
26 November
DKT. CHAULA AFUNGUA MAFUNZO YA KUBAINI NA KUANDAA REJISTA YA VIHATARISHI VYA SEKTA YA MAWASILIANO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano) Dkt. Zainab Chaula (aliyekaa mwenye kilemba) akizungumza na menejimenti pamoja na wataalamu wa Sekta hiyo, wakati wa kufungua mafunzo ya kuandaa rejista ya vihatarishi (Risk Register) vya Sekta hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dodoma Katibu …
Soma zaidi » -
26 November
BODI YA USHAURI NFRA YARIDHISHWA NA UJENZI WA MAGHALA NA VIHENGE VYA KISASA
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula-NFRA wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri Mhandisi Eustance kukagua hatua zilizofikiwa za ujenzi wa maghala na vihenge vya kisasa katika eneo la Maisaka Mjini Babati katika Mkoa wa Manyara, tarehe 25 Novemba 2020. Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa …
Soma zaidi » -
26 November
WIZARA YA ARDHI YAANZA UPIMAJI NA UMILIKISHAJI VITONGOJI 14 KATA YA CHAMWINO DODOMA
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza zoezi la kupanga, kupima na kumilikisha ardhi katika vitongoji 14 vilivyopo katika kata ya Chamwino mkoani Dodoma. Zoezi hilo limeanza rasmi tarehe 24 Novemba 2020 kwa timu kutoka Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi …
Soma zaidi » -
26 November
DKT. MPANGO AWAASA MADIWANI NCHINI KUSIMAMIA VIZURI MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI
Na Benny Mwaipaja, Kigoma WAZIRI wa Fedha na Mipango, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Buhigwe mkoani Kigoma, Dkt. Philip Isdor Mpango, ameyaagiza mabaraza ya Madiwani kote nchini, kuhakikisha kuwa fedha za miradi zinazotumwa na Serikali katika maeneo yao zinasimamiwa vizuri ili kuleta tija na maendeleo ya jamii Dkt. …
Soma zaidi » -
26 November
MAKAMU WA RAIS SAMIA KUMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANO WA SADC WA ORGAN TROIKA
Na Nelson Kessy, Gaborone-Botswana Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kumwakilisha Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwenye Mkutano wa dharura wa pamoja baina ya SADC Organ Troika (Botswana, Malawi na Zimbabwe), na nchi zinazochangia Vikosi vya ulinzi na amani vya Umoja …
Soma zaidi » -
26 November
KITUO KIKUU KIPYA CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI NA NCHI JIRANI CHA MBEZI LUIS JIJINI DAR ES SALAAM KIMEFANYIWA MAJARIBIO
Baadhi ya mabasi ya abiria yakiwa yamepaki katika kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis jijini Dar Es Salaam ambapo kituo hicho kimefanyiwa majaribio Baadhi ya mabasi ya abiria yakiwa yamepaki katika kituo kipya cha mabasi cha Mbezi Luis jijini Dar Es Salaam ambapo kituo hicho kimefanyiwa majaribio Baadhi ya …
Soma zaidi » -
25 November
RC KUNENGE AWAHAKIKISHIA WANANCHI WA KIFURU, CHANIKA NA GONGOLAMBOTO KUANZA KUPATA MAJI SAFI IFIKAPO DISEMBA 31 BAADA YA UJENZI WA TANK LA LITA MILIONI MBILI KUKAMILIKA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewahakikishia wakazi wa Kifuru na Chanika kuanza kupata huduma Bora za Maji safi ifikapo Disemba 31 ikiwa ni utekelezaji wa agizo na ahadi aliyotoa Rais Dkt. John Magufuli kwa Wananchi wakati wa mkutano wa kampeni Jijini humo.RC Kunenge akiambatana na …
Soma zaidi » -
25 November
KUELEKEA MPANGO MKAKATI WA 5 WA SEKTA YA AFYA, SERIKALI YAJIDHATITI KUSOGEZA ZAIDI HUDUMA KWA WANANCHI
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akimkaribisha mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Mabula Mchembe (hayupo kwenye picha) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 21 wa Kitaalam wa tathmini ya utekelezaji katika Sekta ya Afya uliohudhuriwa na Wadau wa Sekta ya Afya nchini, Jijini Dodoma. Serikali, kupitia …
Soma zaidi » -
24 November
SERIKALI YASHAURIWA KUWAAMINI WAKANDARASI WAZAWA
Na Jumbe Ismailly SINGIDA Serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara ya ujenzi imeshauriwa kuendelea kuwaamini Wakandarasi wazawa kuwa wana uwezo wa kujenga kwa viwango vinavyotakiwa na kukamilisha kwa wakati kazi za ujenzi wa miundombinu ya barabara pamoja na madaraja. Akitembelea na kukagua shughuli za ujenzi wa barabara pamoja na …
Soma zaidi » -
24 November
MGANGA MKUU WA SERIKALI – TUMEONGEZA UWEZO WA KUGUNDUA WAGONJWA WAPYA WA KIFUA KIKUU
Na Englibert Kayombo WAMJW – Dodoma Serikali ya Tanzania imeazimia kutokomeza kabisa ugonjwa wa kifua kikuu kwa kuongeza uwezo wa ugunduzi wa wagonjwa wapya wa kifua kikuu na kuwaweka kwenye matibabu. Kauli hiyo imetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi alipokuwa akifungua mkutano wa mwaka wa Mpango wa …
Soma zaidi »