Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amekipongeza Chama cha Wakandarasi Wanawake Tanzania kwa kuweza kuunda umoja huo kwa ajili ya kuwasaidia wanawake wadogo wadogo wanaomalizi vyuo hivi sasa. Amesema ni vyema kuwa na mkakati wa kuweza kuendesha Jumuiya hiyo vizuri ili wengi waweze …
Soma zaidi »Makamu wa Rais
December, 2020
-
7 December
PROF. SHEMDOE AILEKEZA TANTRADE KUANDAA MAONESHO YA BIDHAA ZA VIWANDA KILA ROBO YA MWAKA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Riziki Shemdoe akitoa maelezo ya ufafanuzi muda mchache baada ya ufunguzi wa kongamano la biashara kati ya taasisi za Serikali pamoja na wamiliki wa viwanda nchini, 05 Desemba 2020 katika Uwanja wa Maonesho wa Mwalimu J.K Nyerere – Dar es Salaam. …
Soma zaidi » -
7 December
TANZANIA YAUNGA MKONO AZIMIO LA AU KUONGEZA MIAKA 10 YA KUONDOA NA KUTOKOMEZA SILAHA HARAMU
Umoja wa Afrika (AU) umezitaka nchi wanachama wa umoja huo kutilia mkazo azimio la kuondoa na kutokomeza silaha haramu ili kuliondoka na migogoro inayolifanya bara hilo kushindwa kusonga mbele kiuchumi. Akifungua Mkutano wa 14 wa dharura wa Umoja wa Afrika unaofanyika kwa njia ya mtandao (virtual Conference) Mwenyekiti wa Umoja …
Soma zaidi » -
4 December
WAWEKEZAJI MAKAMPUNI 13 KUTOKA NCHINI AUSTRIA WAWASILI DODOMA KUTAFUTA MAENEO YA UWEKEZAJI
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kumalizika kwa kikao kilichoshirikisha wawekezaji wa makampuni 13 kutoka Austria na Ofisi ya Mkuu wa mkoa, Kituo cha uwekezaji na Halmashauri ya Jiji la Dodoma, waliokuja kwa lengo la kutafuta maeneo ya …
Soma zaidi » -
4 December
“VIFO VYA MAMA WAJAWAZITO HAVIVUMILIKI TENA” – MGANGA MKUU WA SERIKALI
Na Englibert Kayombo WAMJW – MWANZA Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi amesema kuwa Serikali haitovumia tena vifo vya akina mama wajawazito vinavyosababishwa na uzembe wa watumishi kazini. Prof. Makubi ametoa kauli hiyo alipokuwa akifunga kikao kazi cha timu ya uongozi wa afya ya Mkoa wa Mwanza kilichofanyika Wilayani …
Soma zaidi » -
4 December
DC CHONGOLO: JENGO LA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA YA MWANANYAMALA KUANZA KAZI BAADA YA WIKI
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo ameupongeza uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala kwa kusimamia vizuri ujenzi wa Jengo jipya la kisasa la Mama na Mtoto litakalo anza kutoa huduma hivi karibuni. Akizungumza wakati alipofanya ziara ya kukagua jengo hilo Mhe. Chongolo amesema kuwa jengo …
Soma zaidi » -
4 December
SERIKALI YAJA NA MFUMO BORA WA HAKIMILIKI KWA WASANII NA WABUNIFU
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, ameahidi kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho za kuboresha mifumo ya hakimiliki ili kuhakikisha wasanii wa mawanda mbalimbali wananufaika kila kazi zao za ubunifu zinapotumika iwe kwenye redio, TV, mitandaoni na kila sehemu ya biashara. Dkt. Abbasi …
Soma zaidi » -
3 December
BARAZA LA BIASHARA KINONDONI LAZINDULIWA
Akizindua Baraza hilo, Mwenyekiti wake ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Daniel Chongolo amesema hili ni jukwaa pekee linatoa nafasi ya kukutana na wadau wa sekta binafsi na kujadiliana fursa zakiuchumi ikiwa ni pamoja na utatuzi wa changamoto utakaoleta tija katika mustakabali wa nchi yetu inayosimamia sera …
Soma zaidi » -
3 December
TARURA YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU MKOANI NJOMBE
Muonekano wa ujenzi wa Daraja la Ruhuji unaondelea lenye urefu wa Mita 22 liliopo Halmashauri ya Mji wa Njombe linalounganisha Kata ya Ramadhani na Mabatini likiwa limefikia asilimia 50. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), unaendelea kutekeleza miradi mbalimbali katika Mkoa wa Njombe ili kuwezesha wananchi kusafiri na …
Soma zaidi » -
3 December
BILIONI 4 ZATENGWA KUIMARISHA MIUNDOMBINU JANGWANI
Serikali kupitia Mfuko wa Barabara (Road fund) imesema ipo tayari kupitisha kiasi cha shilingi bilioni nne kwa ajili ya kumlipa mkandarasi atakaepatikana ili kuboresha miundombinu ya jangwani mara baada ya uhakiki wa makisio hayo kukamilika na kujiridhisha. Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa Bodi ya mfuko huo, Mwenyekiti wa Bodi …
Soma zaidi » -
3 December
WAZIRI MKUU AWAONYA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kali kwa wataalamu wa ununuzi na ugavi ambao bado wanaendekeza vitendo viovu kama rushwa, upendeleo, kuingilia michakato ya ununuzi kwamba waache mara moja kwani Serikali haitomhurumia yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo. Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumatano, Desemba 2, 2020) alipofungua Kongamano …
Soma zaidi » -
3 December
RAIS WA UFARANSA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUIWEZESHA TANZANIA KUINGIA KATIKA NCHI YA UCHUMI WA KATI
Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron amemwandikia barua ya pongezi Rais wa Jamhuri ya wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia katika hadhi ya nchi ya uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya muda uliotarajiwa. Katika barua hiyo Rais wa Ufaransa Mhe Emmanuel Macron amempongeza …
Soma zaidi » -
3 December
RAIS WA UFARANSA AMWANDIKIA BARUA RAIS DKT. MAGUFULI
Serikali imesema katika kipindi cha pili cha awamu ya pili ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli itajikita zaidi katika kuboresha uwekezaji wa ndani na nje ya nchi na kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika kujenga uchumi wa nchi. Waziri wa Mambo ya …
Soma zaidi » -
2 December
MAONESHO YA TANO YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA KUFANYIKA KUANZIA TAREHE 3 – 9 DISEMBA 2020
Dar es Salaam Wizara ya Viwanda,na Biashara kupitia taasisi yake ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yatakayoanza tarehe 3 hadi 9 Desemba, 2020. Uanzishwaji wa Maonesho haya yalilenga kuhakikisha Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda unakuwa …
Soma zaidi » -
2 December
SEKTA YA VIWANDA NI MUHIMILI KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI
NA Beatrice Sanga- MAELEZO Sekta ya Viwanda ni moja ya sekta zinazochangia pato la Taifa na kutoa ajira kwa wafanyakazi wengi hususan vijana wanaofanya kazi katika viwanda vidogo na vya kati. Sekta hii ina wajibu wa kukuza viwanda ikiwa ni pamoja na kuongeza ujuzi kwa vijana hawa na kuleta mabadiriko ya kiuchumi …
Soma zaidi »