Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, amekabidhi magari kwa ajili ya ufuatiliaji wa shughuli za afya mazingira na usafi kwenye Mikoa sita nchini huku akiagiza yatumike kwa malengo yaliyokusudiwa.Dk.Gwajima ameyasema hayo leo jijini Dodoma alipokuwa akikabidhi magari hayo kwenye mikoa ya Kagera, Mara, …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2021
-
22 September
DKT MABULA AHIMIZA KASI YA UPIMAJI ARDHI BAHI
Na Munir Shemweta, BAHINaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameitaka halmashauri ya wilaya ya Bahi mkoani Dodoma kuongeza kasi ya upimaji ardhi katika maeneo mbalimbali ili kuepuka ujenzi holela.Alisema, kwa sasa maeneo mengi katika halmashauri hiyo yamepanuka kimji na hivyo kuhitaji kupangwa vizuri kwa …
Soma zaidi » -
22 September
NAIBU WAZIRI DKT MABULA AITAKA CHEMBA KUANZA MKAKATI WA KUANDAA MPANGO KABAMBE
Na Munir Shemweta, CHEMBA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameitaka halmashauri ya wilaya ya Chemba mkoani Dodoma kuanza mikakati ya kuandaa Mpango Kabambe katika halamashauri hiyo. Dkt Mabula alisema hayo tarehe 21 Septemba 2021 wakati wa ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa …
Soma zaidi » -
22 September
BANDARI YA MTWARA KUTIMIKA KUSAFIRISHA KOROSHO – WAZIRI MKENDA
Waziri wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda pamoja na Naibu Waziri, Hussein Bashe wakiwa wameongozana na viongozi wengine wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakikagua utayari wa bandari ya Mtwara kuelekea kuanza msimu wa uuzwaji wa korosho ambao unatarajiwa kuanza hivi karibuni wakati wa ziara ya Waziri Mkenda bandarini hapo, …
Soma zaidi » -
22 September
PROF MKENDA ATAKA MIKAKATI UBANGUAJI KOROSHO KUFIKIA 60% IFIKAPO 2025
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Mtwara Waziri wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amewataka wabanguaji zao la korosho kuja na mikakati itakayowezesha zoezi hilo kufikia asilimia 60 au 100 ifikapo mwaka 2025. Waziri Mkenda ameyasema hayo mjini Mtwara wakati akizungumza na wadau wa ubanguaji Korosho kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Benki …
Soma zaidi » -
22 September
RAIS SAMIA ASHIRIKI UFUNGUZI RASMI WA MKUTANO WA 76 WA UN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Septemba 21, 2021 ameshiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UN) unaofanyika Jijini New York Marekani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, tarehe 21 Septemba, 2021 ameshiriki ufunguzi wa …
Soma zaidi » -
21 September
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU KANGOMBA UNUNUZI WA KOROSHO – WAZIRI MKENDA
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe akifafanua jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Ushirika yaliyofanyika katika ukumbi wa BOT mkoani Mtwara, tarehe 20 Septemba 2021. Waziri wa Kilimo Prof Adolf Mkenda ametoa onyo kali kwa wanunuzi wa korosho kwa njia isiyo halali maarufu kama ‘Kangomba’ hali …
Soma zaidi » -
21 September
SERIKALI KUFANYA UPEMBUZI YAKINIFU KATIKA ZIWE JIPE
Serikali imeelekeza wataalamu wa mazingira kufika katika Ziwa Jipe wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro na kufanya upembuzi yakinifu utakaosaidia kuyaondoa magugu maji yaliyozingira ziwa hilo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Hamad Hassan Chande Chande ametoa maelekezo hayo Septemba 20, 2021 alipofanya ziara ya kikazi …
Soma zaidi » -
21 September
DKT. NDUGULILE AKABIDHI RASMI OFISI YA WIZARA KWA WAZIRI MPYA DKT. KIJAJI
Prisca Ulomi na Faraja Mpina, Dodoma Mbunge wa Kigamboni na aliyekuwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile tarehe 20.09.2021 amekabidhi rasmi Ofisi kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. …
Soma zaidi » -
21 September
RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA UN KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI
Rais Samia Suluhu Hassan, tarehe 20 Septemba, 2021 ameshiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa uliojadili kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi yanayoikumba dunia na kusisitiza umuhimu wa kutopuuzia juhudi za kukabiliana na janga hilo. “Tuko katika kipindi ambacho wakati tunapambana na athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi bado tunataabika …
Soma zaidi » -
17 September
SERIKALI YA TANZANIA IMETAKA KUWEPO NA UHURU WA KISERA KWA NCHI ZINAZOENDELEA
Serikali ya Tanzania imetaka kuwepo na uhuru wa kisera kwa nchi zinazoendelea na maskini ili kujihami na athari za uingizwaji uliokithiri wa bidhaa za kilimo hususan kutoka nchi zilizoendelea. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Prof.Kitila Mkumbo amesema hayo Septemba 16, 2021, katika Mkutano wa Mawaziri wa Kundi la Nchi …
Soma zaidi » -
17 September
NAIBU WAZIRI DKT MABULA AHIMIZA UHAKIKI KWA WAMILIKI WA ARDHI
Na Munir Shemweta, BUKOMBE Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa wa ardhi kujitokeza katika zoezi la uhakiki linaloendelea katika ofisi zote za ardhi nchini. Alisema, uamuzi wa wizara yake kufanya uhakiki wa wamiliki wa ardhi ni kutaka kuwatambua wamiliki kwa majina …
Soma zaidi » -
16 September
WAMACHINGA – TUPO TAYARI KUPANGWA KWENYE MAENEO RASMI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla leo September 16 amefanya kikao Cha pamoja na uongozi wa Machinga Mkoa wa Dar es salaam kuhusu njia Bora ya Kuwapanga Machinga Jijini humo. Katika kikao hicho Uongozi wa Machinga umepongeza hatua ya RC Makalla kutumia njia ya shirikishi Jambo lililotoa …
Soma zaidi » -
16 September
SERIKALI YATOA BILIONI 3 KULIPA WATUMISHI WA AFYA WALIOSHIRIKI MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19
Na WAMJW – Kibaha, PWANI.Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe Samia Suluhu Hassani imepitisha fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 3 kwa ajili ya malipo kwa watumishi wa sekta ya afya waliosWayuhiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19.Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin …
Soma zaidi » -
16 September
NAIBU WAZIRI MABULA AZINDUA MPANGO KABAMBE MJI WA GEITA
Na Munir Shemweta, GEITA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezindua Mpango Kabambe wa Mji wa Geita 2017-2037 na kuitaka halmashauri ya mji huo kuhakikisha inasimamia utekelezaji wa mpango huo bila kuruka hatu za utekelezaji. Alisema, mkoa wa Geita umebahatika kuwa na shughuli nyingi …
Soma zaidi »