Madini ya vito aina ya Ruby ni kati ya madini yanayopatikana Wilaya ya Gairo. Madini hayo yameanza kuchimbwa na mzungu (jina linahifadhiwa) tangu mwaka 2010 katika kijiji cha Chogoali, Kata ya Iyogwe Wilayani Gairo. Kwa mujibu wa maelezo ya wananchi na wazee maarufu madini hayo yalichimbwa kuanzia mwaka 2010 na …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2018
August, 2018
-
31 August
SGR YAKAMILIKA KWA 22%
Ujenzi wa Reli ya Kisasa ya kwa ajili ya treni ya kisasa ya Umeme imekamilika kwa 22% imefikia hatua ya utandikaji wa MATALUMA yanatandikwa siku 6 zijazo. #SisiNiTanzaniaMpyA+ yenye #Matokeo ChanyA+ katika kila nyanja ya kukuza uchumi imara na madhubuti. #TunachapaKazi #MATAGA
Soma zaidi » -
31 August
Rais Magufuli aonya watendaji kutumika
“Mmesikia hili sakata hili la Dar es Salaam.. eti Mkuu wa Mkoa (Mhe. Paul Makonda) ameleta makontena ameambiwa alipe kodi… kwanini asilipe kodi.? Sasa ukichukua makontena kule.. umezungumza na watu wengine labda au wafanyabiashara.., unasema ni makontena yako halafu unasema ni ya walimu.., wala hata shule hazitajwi.. maana yake nini..? …
Soma zaidi »