Maktaba Kiungo: Bunge La Tanzania

KAMATI YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA IMEIPONGEZA SERIKALI KWA KUWAWEZESHA VIJANA KUPATA UJUZI STAHIKI

Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria imeipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Mh Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa kuwawezesha Vijana kupata ujuzi kupitia Programu ya Kukuza Ujuzi inayosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana na Ajira. Hayo yamesemwa jana na wajumbe wa kamati …

Soma zaidi »

HEKARI 127,859 ZIMETENGWA KWA AJILI YA VIWANDA – WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ili kutimiza azma ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 kupitia sekta ya viwanda, jumla ya ekari 127,859 zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya viwanda. Vilevile, Waziri Mkuu amesema Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka za upangaji za Halmashauri za Wilaya za Kibaha na Kilosa, imetenga …

Soma zaidi »

MAPENDEKEZO BAJETI YA SERIKALI 2019/2020 KUZINGATIA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa mapendekezo ya Bajeti ya Serikali yanazingatia Mpango wa Maendeleo wa Taifa sanjari na utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi. Amesema hayo  Bunge jijini Dodoma alipokuwa akiwasilisha Hotuba ya Mapitio na Mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Ofisi …

Soma zaidi »

DKT. KIJAJI-MZUNGUKO WA FEDHA KATIKA SOKO UKO IMARA

Serikali imesema kuwa kwa sasa nchi haina tatizo la mzunguko mdogo wa fedha katika soko kutokana na hatua mbalimbali ilizozichukua kukabiliana na tatizo hilo ikiwemo kuongeza ukwasi kwenye uchumi. Hayo yameelezwa Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), alipokuwa akijibu swali la …

Soma zaidi »