Maktaba Kiungo: Bunge La Tanzania

WIZARA ITAENEDLEA KUANZISHA MASOKO YA MADINI – WAZIRI BITEKO

Wizara ya Madini itaendelea kusimamia Uanzishwaji wa Masoko ya Madini katika maeneo mbalimbali nchini huku ikiendelea kufanya marekebisho ya Kanuni za Uanzishwaji wa masoko hayo. Waziri wa Madini Doto Biteko ameyasema hayo Machi 31, 2019 wakati akifunga Semina ya siku mbili iliyoandaliwa na wizara kwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu …

Soma zaidi »

UJENZI WA MZANI DAKAWA MKOANI MOROGORO UMEKAMILIKA KWA ASILIMIA 98

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeishauri Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), kujenga nyumba za watumishi kwenye mzani mpya unaojengwa Dakawa Mkoani Morogoro ili kuwapunguzia adha wafanyakazi watakaokuwa wakifanya kazi kituoni hapo. Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo …

Soma zaidi »

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPONGEZA MRADI WA UMEME WA MAKAMBAKO – SONGEA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, chini ya Mwenyekiti, Mariamu Ditopile Mzuzuri, imeipongeza Serikali kwa kutekeleza mradi wa umeme wa Makambako- Songea (kV 220) ambao umewezesha Mikoa ya Ruvuma na Njombe kupata umeme wa uhakika kutoka Gridi ya Taifa. Kamati hiyo, imetoa pongezi hizo wilayani Songea, Mkoa …

Soma zaidi »

SIKU YA WAPENDANAO YA KIPEKEE TANZANIA

Imefanyika usiku wa siku ya wapendanao (valentine’s day) Iliandaliwa jijini Mbeya   Ilihusisha viongozi mbali mbali, wakazi wa mkoa wa Mbeya, mikoa jirani sambamba na wapendanao walioongozwa na Mhe. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Dkt. Tulia Akson   Waliafikiana kuisaidia ujenzi wa nyumba, malazi, kuwaonyesha …

Soma zaidi »